Tambua vyakula vinavyosababisha ugonjwa wa saratani

Katika utafiti nilioufanya nimegundua kuwa fungus ndio kiini kikuu cha kansa.vyakula na vitu vingine vinachangia kwa % ndogo sana licha wengi hawatakubali hasa watu wa magharibi kwa kuwa ndo mchezo wao.
 

sasa tule nn?
 

Umenichekesha sana, ila ni kweli unayosema, hizi mboga za majani tunazokula ukipita huko mabondeni zinakolimwa yale maji wanayotumia kunyweshea ni hatari sana, tunaambiwa majani ya chai ni sumu, maji tunayokunywa ya chemchem tu ndio salama otherwise haya mengine yana kemikali, chips zina madhara, pombe, mikate[white breads-hii mikate tunayokula] maandazi, vitumbua, nyama nk, nk mweee hatuponi aisee. Bado madereva wa mabasi wanavyotumaliza sasa . MGANGA MUNGU
 

umefanya vizuri kuongezea hiyo kitu mkuu. asante sana.
 
Basi mseme tusile tu nyama, isiyoiva ni tegu/minyoo iliyoiva kansa.
Mi kwa imani yangu kansa hutokana na cell misbehaviour tu. Narudi, narudi
 
Ukiotea buffet la kempiski, hyatt au southern sun hayo yote unasahau. We bana wee msosi kitu kingine bana. Mtoe na dem wako atleast twice uone kama atakuacha. Lol
 
Nilitegemea na kuku wa kizungu (broilers) watakuwemo. Kumbe hawaenezi kansa ngoja niendelee kujinona tu.
 
Mzizi mkavu thanjs kwa darasa sasa watu wataishije??na hizo ndo common food world wide.what is the solution the??
 
Mbona kama vyakula vyote vimetajwa kuwa vina madhara....me nafikiri hoja ile ya too much is harmful ipo sahihi.maana kila siku tafiti zinakuja na majibu ya kuwa kila binadamu anachofanya ni sumu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…