Tambwe fiti kuivaa kagera Juma mosi hii

Tambwe fiti kuivaa kagera Juma mosi hii

BrJem

Member
Joined
Oct 7, 2017
Posts
16
Reaction score
6
Taarifa njema kwa wapenzi Wa yanga, mshambuliaji wao wa kutegemewa Amisi Tambwe yupo fiti katika kuikabili kagera hapo juma mosi baada ya kuwa nje kwa muda mrefu akisumbuliwa na goti. Ngoma bado hajawa fiti but the next match will be present. Karibu wote kaitaba
 
Tabweeee....namna gani pale mabeki wa Kagera wanamwacha anapiga free header Na kuwapa young Africans goli la kuongozaaa.....
 
Karibu sana Tambwe labda utakuwa msaada ktk ufungaji! Haiwezekani Yanga iwe na magoli 04 kwa mechi 05!
 
kweli mtani kwa hali yenu jinsi ilivyo inabidi mtafute hata magoli ya mkono....maana
 
Back
Top Bottom