KERO TAMESA angalieni wakazi wa Kigamboni kwa huruma. Kivuko kinakaa upande mmoja 1hour?

KERO TAMESA angalieni wakazi wa Kigamboni kwa huruma. Kivuko kinakaa upande mmoja 1hour?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

hp4510

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2012
Posts
7,235
Reaction score
7,392
Tamesa tafadhari waangalieni wakazi wa kigamboni Kwa jicho la huruma,

Nao pia ni watanzania. Kivuko kinakaa upande mmoja 1hour?

Tumeingia kwenye kivuko saa sita Kamili mpaka saa saba kivuko hakijatoka hii ni haki kweli?

Mpaka watu wanalala wanasinzia wanaliwa na mbu na wadudu wa Bahari

Sidhani kama ni Sawa Kwa kweli

Mafuta ya serikali, sasa mnabana kitu gani? Watu wametoka kanisani wako na watoto wanawekwa saa mzima pale feri

Huo mwendo wenyewe wa usiku pantoni inatembea kama Mtoto anatambaa. Yani ukanaa saa mzima kwenye kivuko na unakaa tena 30mn kwenye maji

Not fair kabisa
 
Hakuna cha Tamesa, ongea na katiba mkuu wa Ccm au wanaccm .
 
Tamesa tafadhari waangalieni wakazi wa kigamboni Kwa jicho la huruma,

Nao pia ni watanzania. Kivuko kinakaa upande mmoja 1hour?

Tumeingia kwenye kivuko saa sita Kamili mpaka saa saba kivuko hakijatoka hii ni haki kweli?

Mpaka watu wanalala wanasinzia wanaliwa na mbu na wadudu wa Bahari

Sidhani kama ni Sawa Kwa kweli

Mafuta ya serikali, sasa mnabana kitu gani? Watu wametoka kanisani wako na watoto wanawekwa saa mzima pale feri

Huo mwendo wenyewe wa usiku pantoni inatembea kama Mtoto anatambaa. Yani ukanaa saa mzima kwenye kivuko na unakaa tena 30mn kwenye maji

Not fair kabisa
Subirini mfe kwanza Kila kitu kitakaa sawa
 
Back
Top Bottom