TAMISEMI acheni mapambio, wananchi wanaumia.

TAMISEMI acheni mapambio, wananchi wanaumia.

Damaso

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2018
Posts
3,978
Reaction score
6,739
Nimepata kukutana na hii picha kutoka mtandao wa X kutoka kwenye ukurasa rasmi ya TAMISEMI kiukweli nimepata hasira na kuona watanzania sijui huwa tunafikiria nini? Ukweli tunauficha kwenye uvungu na kuhubiri uongo, kwa sababu ya kulinda ugali na uchawa uliopitiliza.
Screenshot_20241023_140640_X.jpg


Kuna shule zipo kwenye hali mbaya na kila mtanzania anafahamu hilo ila TAMISEMI inataka kutuaminisha kuwa shule zote zipo hivi. Hakika tuna watendaji wa ajabu kuwahi kutokea.​
 
Watu watamisemi watoto wao wanasoma shule nzuri na zenye ubora

Hivyo inatubidi kutambua hili jambo Admin wao ameamua kujiongelea yeye Kama yeye .
 
Nimepata kukutana na hii picha kutoka mtandao wa X kutoka kwenye ukurasa rasmi ya TAMISEMI kiukweli nimepata hasira na kuona watanzania sijui huwa tunafikiria nini? Ukweli tunauficha kwenye uvungu na kuhubiri uongo, kwa sababu ya kulinda ugali na uchawa uliopitiliza.
View attachment 3133377

Kuna shule zipo kwenye hali mbaya na kila mtanzania anafahamu hilo ila TAMISEMI inataka kutuaminisha kuwa shule zote zipo hivi. Hakika tuna watendaji wa ajabu kuwahi kutokea.​
Ni wapuuzi sana! Shule nyingi ziko hovyo sana! Hawa ni matapeli sana! Bullshit!
 
Juzi kati tu nimeiona chumba kimoja cha Darasa wanatumia Darasa la 3 na la 4.
Walimu wanaingia wawili kila mmoja anafundisha wanafunzi wake.
 
Nimepata kukutana na hii picha kutoka mtandao wa X kutoka kwenye ukurasa rasmi ya TAMISEMI kiukweli nimepata hasira na kuona watanzania sijui huwa tunafikiria nini? Ukweli tunauficha kwenye uvungu na kuhubiri uongo, kwa sababu ya kulinda ugali na uchawa uliopitiliza.
View attachment 3133377

Kuna shule zipo kwenye hali mbaya na kila mtanzania anafahamu hilo ila TAMISEMI inataka kutuaminisha kuwa shule zote zipo hivi. Hakika tuna watendaji wa ajabu kuwahi kutokea.​
Kwahiyo unataka kutuaminisha kwamba hakuna improvement?
 
Nimepata kukutana na hii picha kutoka mtandao wa X kutoka kwenye ukurasa rasmi ya TAMISEMI kiukweli nimepata hasira na kuona watanzania sijui huwa tunafikiria nini? Ukweli tunauficha kwenye uvungu na kuhubiri uongo, kwa sababu ya kulinda ugali na uchawa uliopitiliza.
View attachment 3133377

Kuna shule zipo kwenye hali mbaya na kila mtanzania anafahamu hilo ila TAMISEMI inataka kutuaminisha kuwa shule zote zipo hivi. Hakika tuna watendaji wa ajabu kuwahi kutokea.​
Kuna shule nyingi bado wanafunzi wanakaa chini.

Tumeamua kuufanya uongo na ulaghai kuwa sehemu ya maisha yetu Tanzania hili litatugharimu sana.
 
Kuna shule nyingi bado wanafunzi wanakaa chini.

Tumeamua kuufanya uongo na ulaghai kuwa sehemu ya maisha yetu Tanzania hili litatugharimu sana.
Litamgharimu nani mkuu? Aliyepewa dhamana kuongoza hii wizara,watoto wake wanasoma nje ya nchi.
 
🤣🤣🤣🤣🙌huyo mtoto mtu mzima mbona kama miguu inamsaliti mapema sana.
ni AI nadhani🤣🤣
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣... Dahh. Tamisemi picha kama hizi huwa hamtaki kuziona kabisa.... 😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom