peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Tunakoelekea tume fila mahali sasa watumishi wa Umma Wanafanya watakalo na hafanyiwi chochote,
Je TAMISEMI mama ANJELA KAIRUKI Unafahamu maeneo ya Taasisi Za Umma Mfano maeneo ya shule Za msingi Za serikali yanauzwa?
Kama Bado Afisaelimu mtajwa hapo juu yupo ofisini hadi leo kuna kila sababu SAMIA anafanyiwa hujuma na ccm Pamoja na watumishi wa Umma Ili 2025 akachunge Mbuzi Unguja.
Je TAMISEMI mama ANJELA KAIRUKI Unafahamu maeneo ya Taasisi Za Umma Mfano maeneo ya shule Za msingi Za serikali yanauzwa?
Kama Bado Afisaelimu mtajwa hapo juu yupo ofisini hadi leo kuna kila sababu SAMIA anafanyiwa hujuma na ccm Pamoja na watumishi wa Umma Ili 2025 akachunge Mbuzi Unguja.