Nyanda Banka
JF-Expert Member
- Mar 14, 2023
- 304
- 1,054
Kuhusu ajira tulisikia kuwa kibali kimeshatoka kwa Rais, sasa mbona bado wapo kimya wakati tunakaribia mwaka wa kiserikali na bajeti mpya kuanza kazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatuna imani ya kupata ila tunafarijika tukisikia tangazoKuhusu ajira tulisikia kuwa kibali kimeshatoka kwa Rais, sasa mbona bado wapo kimya wakati tunakaribia mwaka wa kiserikali na bajeti mpya kuanza kazi
kinyume cha TAMISEMI NI TUMESEMAKuhusu ajira tulisikia kuwa kibali kimeshatoka kwa Rais, sasa mbona bado wapo kimya wakati tunakaribia mwaka wa kiserikali na bajeti mpya kuanza kazi
KwakweliTafuta alternative, tafuta connection. Ukisubiri tu utachacha na kupauka
KumbeJiongeze,pesa za kampeni ohoo
Hii kauli umeitoa kwa hisia sana.Hatuna imani ya kupata ila tunafarijika tukisikia tangazo
Atumishi zimetangazwa na wizara ya Elimu ,, na ni ajira 147 tu kama sijakosea ,, na zenyewe kwa kiasi kikubwa zitanataka watu wa diploma , kwa ni degree ni phisikia na hesabati ndiyo wepewa kipaombele ,, kama hautokuwa na sifa tajwa ,, mojankwa moja mfumo unakukataa.Mbona hizo ajira zimetangazwa utumishi kaombe huko
Kabisa nimezipata hizoAtumishi zimetangazwa na wizara ya Elimu ,, na ni ajira 147 tu kama sijakosea ,, na zenyewe kwa kiasi kikubwa zitanataka watu wa diploma , kwa ni degree ni phisikia na hesabati ndiyo wepewa kipaombele ,, kama hautokuwa na sifa tajwa ,, mojankwa moja mfumo unakukataa.