TAMISEMI, boresheni mfumo wa maombi ya ajira

TAMISEMI, boresheni mfumo wa maombi ya ajira

DR SANTOS

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2019
Posts
12,846
Reaction score
28,106
Habari wana jamvi

Nasikitika kusema kwamba leo nimekesha usiku kucha for nothing, mfumo wa maombi ya ajira haufunguki na hata ukifnguka mzigo una load tu bila response yoyote.

Jana nilijua labda pengine ni kwaajili ya watu wengi kuutumia mchana nikasema usiku nitakesha nimalize kila kitu lakini sijafanikiwa.

Tunaomba TAMISEMI waboreshe mfumo huu unless deadline itafika na watu hawajafanikiwa kutuma maombi

Nawasilisha
 
habari wana jamvi
nasikitika kusema kwamba leo nimekesha usiku kucha for nothing, mfumo wa maombi ya ajira haufunguki na hata ukifnguka mzigo una load tu bila response yoyote. jana nilijua labda pengine ni kwaajili ya watu wengi kuutumia mchana nikasema usiku nitakesha nimalize kila kitu lakini sijafanikiwa.
tunaomba tamisemi waboreshe mfumo huu unless deadline itafika na watu hawajafanikiwa kutuma maombi
nawasilisha
Wakati unasema nita test usiku kuna graduates kama laki hivi nao wanasema tutatest uh siku.

#MaendeleoHayanaChama
 
habari wana jamvi
nasikitika kusema kwamba leo nimekesha usiku kucha for nothing, mfumo wa maombi ya ajira haufunguki na hata ukifnguka mzigo una load tu bila response yoyote. jana nilijua labda pengine ni kwaajili ya watu wengi kuutumia mchana nikasema usiku nitakesha nimalize kila kitu lakini sijafanikiwa.
tunaomba tamisemi waboreshe mfumo huu unless deadline itafika na watu hawajafanikiwa kutuma maombi
nawasilisha
habari wana jamvi
nasikitika kusema kwamba leo nimekesha usiku kucha for nothing, mfumo wa maombi ya ajira haufunguki na hata ukifnguka mzigo una load tu bila response yoyote. jana nilijua labda pengine ni kwaajili ya watu wengi kuutumia mchana nikasema usiku nitakesha nimalize kila kitu lakini sijafanikiwa.
tunaomba tamisemi waboreshe mfumo huu unless deadline itafika na watu hawajafanikiwa kutuma maombi
nawasilisha
Yaani ni aibu tupu!! Hii Wizara huwa haijifunzi miaka yote. Naona Tamisemi ipunguziwe majukumu. Mambo ya afya yarudi wizara ya afya a mambo ya elimu yarudi wizara ya elimu. Wao wabaki na serikali za mitaa na tawala za mikoa kama ilivyo kuwa zamani. After all swala la mtandao kugoma vigogo wa serikali hawajali kwani watoto wao wamewapeleka Takukuru.
 
Yaani ni aibu tupu!! Hii Wizara huwa haijifunzi miaka yote. Naona Tamisemi ipunguziwe majukumu. Mambo ya afya yarudi wizara ya afya a mambo ya elimu yarudi wizara ya elimu. Wao wabaki na serikali za mitaa na tawala za mikoa kama ilivyo kuwa zamani. After all swala la mtandao kugoma vigogo wa serikali hawajali kwani watoto wao wamewapeleka Takukuru.
nakazia hapa
 
IMG_9226.jpg

Hakuna options kabisa Kum...
Sasa kuweka mikoa wameshindwa nini, mikoa hata 35 haifiki

Haya hizo councils sasa unaclick kitu kinabadilika rangi tuu napo.

Mfumo wa kidwanzi
 
we all face the same challenge mkuu ila mwaka jana ilikua chap tu ngoja tuwaulize walofanikiwa kufikisha 100
Ni mda gan huchukua kwa tamisemi kupitia maombi ya ajira hadi kutangaza walio ajiriwa
 
Back
Top Bottom