Ndugu wana jamvi Mimi ni mdau wa elimu kwa mda mrefu ila ninasikitishwa na namna wizara hi inavyoendeshwa
1. Kuna upungufu was watumishi lukuki wewe unaomba 10000 hivi so mzaha huu
2. Unasoma bajeti iliyopita kwa makosa makubwa wewe hukuwa na rehearsal kabla?
3. Hospital hazina watumishi kibali kimetolewa uko kimya si dharau hizo?
4. Uwiano was mwalimu kwa mwanafunzi ni 1:40 wewe unasema 1:60 si mzaha huu?
5. Una shule za msingi zaid ya 17460 na secondary zaid ya elfu sita umepewa walimu 9800 una unashangilia si uzuzu huo?
1. Kuna upungufu was watumishi lukuki wewe unaomba 10000 hivi so mzaha huu
2. Unasoma bajeti iliyopita kwa makosa makubwa wewe hukuwa na rehearsal kabla?
3. Hospital hazina watumishi kibali kimetolewa uko kimya si dharau hizo?
4. Uwiano was mwalimu kwa mwanafunzi ni 1:40 wewe unasema 1:60 si mzaha huu?
5. Una shule za msingi zaid ya 17460 na secondary zaid ya elfu sita umepewa walimu 9800 una unashangilia si uzuzu huo?