TAMISEMI: Haiwezekani kuandaa mfumo kuhama wa tumishi wakubadilishana vituo wakafanya online transfer

TAMISEMI: Haiwezekani kuandaa mfumo kuhama wa tumishi wakubadilishana vituo wakafanya online transfer

polokwane

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2018
Posts
3,361
Reaction score
5,842
Napendekeza TAMISEMI wangeanzisha mfumo wa kubadilishana vituo vya kazi yaan kuwe na mfumo ambao unawatambua watumish wote na vituo vyao vya kazi kwa kila idara halafu watumushi waweze kuutumia

Mfano:mfumo unakuwa na transfer request hivyo mtumishi anaye taka kuhama ana request wilaya au kata au kituo anacho taka kuhamia baada ya kuweka request hiyo ina link na mtu wa eneo lile ambaye naye anakuwa alisha request kuhamia eneo la mtumishi wa kwanza baada ya hapo wanafanya confirmation na kupata form ambayo inaenda kuithinishwa utumushi wilaya ili kuhakiki uhai wa mtumishi husika na taratibu za kuhamisha mshahara zinafanyika ndani ya siku moja watu wanabadilishana vituo.

Naona njia hiyo itakuwa rahisi na haileti upungufu wowote ule wa watumishi eneo husika kwa sababu atakaye hama anaenda moja kwa moja kituo cha aliye badilishana naye ambaye anasifa na majukumu sawa na anaye badilishana naye ili kupunguza urasimu na utapeli na kuipunguzia tamisemi majukumu.

Nawasilisha.
 
Hawataki muhame.mkifikia huko muendako hasa mijini mnajazana huko na kazi hazifanyiki.
 
Kuwe na allowance kwa watumishi wa vijijini huo mchezo wa kujazana mijini na kwenye majiji utapungua, pia mliopo vijijini ni fursa nzuri kwenu hasa kwenye nyanja za kilimo na ufugaji pia ushawishi wa matumizi makubwa ya pesa ni mdogo sana.
 
Napendekeza TAMISEMI wangeanzisha mfumo wa kubadilishana vituo vya kazi yaan kuwe na mfumo ambao unawatambua watumish wote na vituo vyao vya kazi kwa kila idara halafu watumushi waweze kuutumia

Mfano:mfumo unakuwa na transfer request hivyo mtumishi anaye taka kuhama ana request wilaya au kata au kituo anacho taka kuhamia baada ya kuweka request hiyo ina link na mtu wa eneo lile ambaye naye anakuwa alisha request kuhamia eneo la mtumishi wa kwanza baada ya hapo wanafanya confirmation na kupata form ambayo inaenda kuithinishwa utumushi wilaya ili kuhakiki uhai wa mtumishi husika na taratibu za kuhamisha mshahara zinafanyika ndani ya siku moja watu wanabadilishana vituo.

Naona njia hiyo itakuwa rahisi na haileti upungufu wowote ule wa watumishi eneo husika kwa sababu atakaye hama anaenda moja kwa moja kituo cha aliye badilishana naye ambaye anasifa na majukumu sawa na anaye badilishana naye ili kupunguza urasimu na utapeli na kuipunguzia tamisemi majukumu.

Nawasilisha.

Sikiliza ndugu polokwane;

1. Kuhama kituo cha kazi kwa watumishi wa umma ni takwa la kisheria linalongozwa na kanuni mbalimbali za Utumishi wa umma. Na mtumishi anaweza kuhamishwa kutoka kituo A kwenda kituo B au mwajiri A kwenda kwa mwajiri B aidha;

å Kwa mwajiri mwenyewe kurekebisha IKAMA, AU;

å Kwa sababu binafsi za mtumishi mfano ugonjwa, maandalizi ya kustaafu, kubadilisha mazingira ya kazi baada ya kukaa kituo kimoja kwa muda mrefu na sababu za kifamilia ambazo ziko nyingi tu kulingana mtumishi, AU;

å Kwa sababu ya 2 hapo juu, ndipo hujitokeza hiki kinachoitwa UHAMISHO WA KUJIOMBEA na nitajikita hapo kuelezea ninachokifahamu mimi...

2. MOSI, utaratibu wa watu kuomba kuhama vituo vya kazi kwa "mtindo wa kubadilishana" haupo kisheria bali ni mawazo tu ya watu binafsi kutoka kwenye vichwa vyao na nyie pasipo kujua wala kuzijua sheria za kazi na Utumishi mkachukua na kumeza hivyo hivyo na kudhani ni sheria...

3. MBILI, mtumishi wa umma katika kada yoyote akishaajiriwa na kupangiwa kituo cha kazi, sheria inamtaka kufanya kazi ktk kituo hicho ingalau miaka isiyopungua mitano na baada ya hapo anaweza kuhamishwa au yeye mwenyewe akaomba kuhama na kawaida anatakiwa akubaliwe pasipo masharti yoyote na inapobidi mwajiri amlipe gharama za uhamisho mtumishi huyo hata kama ameomba mwenyewe...

## Kwa hiyo, hitaji la mtumishi anapoomba uhamisho na kama ametimiza kigezo cha kuhudumu ktk kituo chake cha kazi anachoomba kuondoka kwa miaka isiyopungua 5, Afisa Utumishi au mwajiri yeyote atakayetoa sharti la "TAFUTA WA KUBADILISHANA NAYE KWANZA", huyo anakuwa yupo nje ya sheria na muulize swali dogo tu " kwa sheria ipi?"

## Kinachotakiwa kufanywa na mwajiri au Afisa Utumishi kwa mtumishi aombae uhamisho huku akiwa ana vigezo vya kuhama ni kujadiliana naye au kumpa sababu nyingine kwa maandishi....

## Na usiporidhika na sababu hiyo, unaruhusiwa kukata rufaa kwa mamlaka iliyo juu au inayofuata. Mfano kama mwajiri wako ni Mkurugenzi Mtendaji wa wilaya au mji au manispaa au jiji, mamlaka ya Utumishi ya juu ya hawa ni Afisa Tawala wa Mkoa; iliyo juu ya hawa ni WAZIRI WA KADA HUSIKA na ya juu na ya mwisho ni RAIS...

4. TATU, kwa hiyo wazo au pendekezo lako la "TAMISEMI waandae mfumo wa uhamisho wa watumishi wanaotaka kubadilishana vituo" halina support ya sheria za kazi na utumishi. Kwa maana kwamba, huwezi kuandaa kitu cha kuhudumia umma kisichokuwa na misingi ya kisheria...

5. MWISHO, kama kuna watu wanahama vituo vya kazi kwa mtindo huu wa kuomba kubadilishana, waendelee tu lakini hiyo haiko kwa njia rasmi bali ni mawazo ya watu tu...
 
Hawataki muhame.mkifikia huko muendako hasa mijini mnajazana huko na kazi hazifanyiki.
Kuwe na allowance kwa watumishi wa vijijini huo mchezo wa kujazana mijini na kwenye majiji utapungua, pia mliopo vijijini ni fursa nzuri kwenu hasa kwenye nyanja za kilimo na ufugaji pia ushawishi wa matumizi makubwa ya pesa ni mdogo sana.
Nimeongelea uhamisho wa kubadilishana vituo na si vinginevyo ,huo uhamisho mwingine uendelee tu kwa taratibu zilizopo
 
Sikiliza ndugu polokwane;

1. Kuhama kituo cha kazi kwa watumishi wa umma ni takwa la kisheria linalongozwa na kanuni mbalimbali za Utumishi wa umma. Na mtumishi anaweza kuhamishwa kutoka kituo A kwenda kituo B au mwajiri A kwenda kwa mwajiri B aidha;

å Kwa mwajiri mwenyewe kurekebisha IKAMA, AU;

å Kwa sababu binafsi za mtumishi mfano ugonjwa, maandalizi ya kustaafu, kubadilisha mazingira ya kazi baada ya kukaa kituo kimoja kwa muda mrefu na sababu za kifamilia ambazo ziko nyingi tu kulingana mtumishi, AU;

å Kwa sababu ya 2 hapo juu, ndipo hujitokeza hiki kinachoitwa UHAMISHO WA KUJIOMBEA na nitajikita hapo kuelezea ninachokifahamu mimi...

2. MOSI, utaratibu wa watu kuomba kuhama vituo vya kazi kwa "mtindo wa kubadilishana" haupo kisheria bali ni mawazo tu ya watu binafsi kutoka kwenye vichwa vyao na nyie pasipo kujua wala kuzijua sheria za kazi na Utumishi mkachukua na kumeza hivyo hivyo na kudhani ni sheria...

3. MBILI, mtumishi wa umma katika kada yoyote akishaajiriwa na kupangiwa kituo cha kazi, sheria inamtaka kufanya kazi ktk kituo hicho ingalau miaka isiyopungua mitano na baada ya hapo anaweza kuhamishwa au yeye mwenyewe akaomba kuhama na kawaida anatakiwa akubaliwe pasipo masharti yoyote na inapobidi mwajiri amlipe gharama za uhamisho mtumishi huyo hata kama ameomba mwenyewe...

## Kwa hiyo, hitaji la mtumishi anapoomba uhamisho na kama ametimiza kigezo cha kuhudumu ktk kituo chake cha kazi anachoomba kuondoka kwa miaka isiyopungua 5, Afisa Utumishi au mwajiri yeyote atakayetoa sharti la "TAFUTA WA KUBADILISHANA NAYE KWANZA", huyo anakuwa yupo nje ya sheria na muulize swali dogo tu " kwa sheria ipi?"

## Kinachotakiwa kufanywa na mwajiri au Afisa Utumishi kwa mtumishi aombae uhamisho huku akiwa ana vigezo vya kuhama ni kujadiliana naye au kumpa sababu nyingine kwa maandishi....

## Na usiporidhika na sababu hiyo, unaruhusiwa kukata rufaa kwa mamlaka iliyo juu au inayofuata. Mfano kama mwajiri wako ni Mkurugenzi Mtendaji wa wilaya au mji au manispaa au jiji, mamlaka ya Utumishi ya juu ya hawa ni Afisa Tawala wa Mkoa; iliyo juu ya hawa ni WAZIRI WA KADA HUSIKA na ya juu na ya mwisho ni RAIS...

4. TATU, kwa hiyo wazo au pendekezo lako la "TAMISEMI waandae mfumo wa uhamisho wa watumishi wanaotaka kubadilishana vituo" halina support ya sheria za kazi na utumishi. Kwa maana kwamba, huwezi kuandaa kitu cha kuhudumia umma kisichokuwa na misingi ya kisheria...

5. MWISHO, kama kuna watu wanahama vituo vya kazi kwa mtindo huu wa kuomba kubadilishana, waendelee tu lakini hiyo haiko kwa njia rasmi bali ni mawazo ya watu tu...
Kubadilishana vituo vya kazi sio kosa kisheria na wala haina zuio la kisheria.
 
🤣🤣🤣nilitengeneze mfumo kama huu wa kubadilisha vituo 2017 baada ya mwaka nikaufunga..
Nilikuwa napata load upande mmoja wengi wanaamia upande mmoja..nakosa wakumatch...
Watu wanatoka mkoa mmoja ni wengi kuliko wanaotaka kwenda..
Wapo waliopata maana mfumo ulikuwa unachakata data na kutuma kucontact inapopata na nilianza bure baadaye nikaweka ishu ya malipo Tsh 500 per request..
WaTz walivyopenda bure. Baadaye ikaja ishu za TCRA kusajili web zote nikaona nifunge Tu mambo yasiwe mengi wasije nifunga kumiliki data za watu na kuitwa tapeli...
 
Back
Top Bottom