Angalia hapa kwa makini Afisa uandikishaji anaruka nafasi makusudi badae lazima atapachika majina ya watu.
OR TAMISEMI Haya ndio maelekeozo mliyowapa maofisa Uandikishaji? Bado mnasema huu uchaguzi hauna uchakachuaji?
Haya yana baraka za nani? Kwa nini mnapenda kulipelekaTaifa kama watu wote ni wendawazimu na Nyie ndio werevu?
Pia soma:LGE2024 - Nini kimetokea kiasi kwamba Wananchi hawataki kujiandikisha hadi wanafatwa majumbani na wanatoa majibu ya dharau kwa wahamasishaji?
OR TAMISEMI Haya ndio maelekeozo mliyowapa maofisa Uandikishaji? Bado mnasema huu uchaguzi hauna uchakachuaji?
Haya yana baraka za nani? Kwa nini mnapenda kulipelekaTaifa kama watu wote ni wendawazimu na Nyie ndio werevu?