LGE2024 TAMISEMI hii maana yake nini? Kwa nini wakala aruke nafasi hapo kwenye Daftari?

LGE2024 TAMISEMI hii maana yake nini? Kwa nini wakala aruke nafasi hapo kwenye Daftari?

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Mawele

Senior Member
Joined
Jul 25, 2023
Posts
119
Reaction score
320
Angalia hapa kwa makini Afisa uandikishaji anaruka nafasi makusudi badae lazima atapachika majina ya watu.

OR TAMISEMI Haya ndio maelekeozo mliyowapa maofisa Uandikishaji? Bado mnasema huu uchaguzi hauna uchakachuaji?

Haya yana baraka za nani? Kwa nini mnapenda kulipelekaTaifa kama watu wote ni wendawazimu na Nyie ndio werevu?

1729068759986.jpeg
Pia soma:LGE2024 - Nini kimetokea kiasi kwamba Wananchi hawataki kujiandikisha hadi wanafatwa majumbani na wanatoa majibu ya dharau kwa wahamasishaji?
 
Angalia hapa kwa makini Afisa uandikishaji anaruka nafasi makusudi badae lazima atapachika majina ya watu.

OR TAMISEMI Haya ndio maelekeozo mliyowapa maofisa Uandikishaji?
Bado mnasem huu uchaguzi hauna uchakachuji?

Haya yana baraka za nani? Kwa nini mnapenda kulipelekaTaifa kama watu wote ni wendawazimu na Nyie ndio werevu?


View attachment 3126447
Kwani lazima kushiriki huo uchaguzi si muwaachie wenyewe tu maana unakubalije kwenda kucheza kolokolo eti ubahatishe ushindi wakati unajua kabisa utaliwa..!
 
Kwani saini za watu zinasainiwa na wakala? Mbona hizi sahihi zinonekana kusiniwa na mtu mmoja?

Halafu Majina hakuna ila kuna sahihi daah nchi hii ni kama iko kwenye mfuko wa shati wa cham fulni

1729070162545.png
 
Chama Cha Mashetani wapo tayari kufanya hila yoyote ile ili washinde uchaguzi.
 
Angalia hapa kwa makini Afisa uandikishaji anaruka nafasi makusudi badae lazima atapachika majina ya watu.

OR TAMISEMI Haya ndio maelekeozo mliyowapa maofisa Uandikishaji? Bado mnasema huu uchaguzi hauna uchakachuaji?

Haya yana baraka za nani? Kwa nini mnapenda kulipelekaTaifa kama watu wote ni wendawazimu na Nyie ndio werevu?

Pia soma:LGE2024 - Nini kimetokea kiasi kwamba Wananchi hawataki kujiandikisha hadi wanafatwa majumbani na wanatoa majibu ya dharau kwa wahamasishaji?
Mbona kuna saini kabisa hapo mbele na umri tayari?Yawezekana mteja alianza kwa kuweka saini halafu ndiyo taarifa zake zikaanza kuandikwa kutoka kulia kurudi kushoto.🤔
 
Huoni saini za Walioandikishwa HEWA?!
Mkuu, nilicomment kwenye hiyo column iliyozungushiwa alama na mdau.

Lakini hata hivyo katika uandishi kila mtu ana kastyle kake ka kuandika, hasa hii ya kuorodhesha, mwingine anaanzia kulia anarudi kushoto, kuna style mtu anaandika mpaka unashindwa kuelewa ana maana gani.
 
Angalia hapa kwa makini Afisa uandikishaji anaruka nafasi makusudi badae lazima atapachika majina ya watu.

OR TAMISEMI Haya ndio maelekeozo mliyowapa maofisa Uandikishaji? Bado mnasema huu uchaguzi hauna uchakachuaji?

Haya yana baraka za nani? Kwa nini mnapenda kulipelekaTaifa kama watu wote ni wendawazimu na Nyie ndio werevu?

Pia soma:LGE2024 - Nini kimetokea kiasi kwamba Wananchi hawataki kujiandikisha hadi wanafatwa majumbani na wanatoa majibu ya dharau kwa wahamasishaji?
Kama unakumbuka vizuri wajumbe wa CCM walipita kila nyumba kuandikisha wanachama.
Hizo nafasi hazitabaki wazi.
 
Back
Top Bottom