Kwani lazima kushiriki huo uchaguzi si muwaachie wenyewe tu maana unakubalije kwenda kucheza kolokolo eti ubahatishe ushindi wakati unajua kabisa utaliwa..!Angalia hapa kwa makini Afisa uandikishaji anaruka nafasi makusudi badae lazima atapachika majina ya watu.
OR TAMISEMI Haya ndio maelekeozo mliyowapa maofisa Uandikishaji?
Bado mnasem huu uchaguzi hauna uchakachuji?
Haya yana baraka za nani? Kwa nini mnapenda kulipelekaTaifa kama watu wote ni wendawazimu na Nyie ndio werevu?
View attachment 3126447
Mkuu, naona kumeandikwa saini ya mwandikishaji.Kwani saini za watu zinasainiwa na wakala? Mbona hizi sahihi zinonekana kusiniwa na mtu mmoja?
Halafu Majina hakuna ila kuna sahihi daah nchi hii ni kama iko kwenye mfuko wa shati wa cham fulni
Wewe huoni hiyo column ni kwa ajili ya mwandikishaji?Kwani saini za watu zinasainiwa na wakala? Mbona hizi sahihi zinonekana kusiniwa na mtu mmoja?
Halafu Majina hakuna ila kuna sahihi daah nchi hii ni kama iko kwenye mfuko wa shati wa cham fulni
kwa hiyo column ya mwandikishaji anasaini labda ya kuandika jina la mpiga kura?Wewe mpuuzi huoni hiyo column ni kwa ajili ya mwandikishaji?
Huoni saini za Walioandikishwa HEWA?!Mkuu, naona kumeandikwa saini ya mwandikishaji.
Mbona kuna saini kabisa hapo mbele na umri tayari?Yawezekana mteja alianza kwa kuweka saini halafu ndiyo taarifa zake zikaanza kuandikwa kutoka kulia kurudi kushoto.🤔Angalia hapa kwa makini Afisa uandikishaji anaruka nafasi makusudi badae lazima atapachika majina ya watu.
OR TAMISEMI Haya ndio maelekeozo mliyowapa maofisa Uandikishaji? Bado mnasema huu uchaguzi hauna uchakachuaji?
Haya yana baraka za nani? Kwa nini mnapenda kulipelekaTaifa kama watu wote ni wendawazimu na Nyie ndio werevu?
Pia soma:LGE2024 - Nini kimetokea kiasi kwamba Wananchi hawataki kujiandikisha hadi wanafatwa majumbani na wanatoa majibu ya dharau kwa wahamasishaji?
Mkuu, nilicomment kwenye hiyo column iliyozungushiwa alama na mdau.Huoni saini za Walioandikishwa HEWA?!
Tunatakiwa tu deal na hao wanaotumika,kama ni walimu au watendaji,tuwafukuze mitaani tunakoishi.CCM wanachotaka ni madaraka tu haijalishi watatumia njia gani,ni watu hatari sana.
Kwani kiarabu si wanaandika kutoka kulia kwenda kushoto, labda Huku ni uarabuni ,sijiandikishi ng'oo!Mbona kuna saini kabisa hapo mbele na umri tayari?Yawezekana mteja alianza kwa kuweka saini halafu ndiyo taarifa zake zikaanza kuandikwa kutoka kulia kurudi kushoto.🤔
Kama unakumbuka vizuri wajumbe wa CCM walipita kila nyumba kuandikisha wanachama.Angalia hapa kwa makini Afisa uandikishaji anaruka nafasi makusudi badae lazima atapachika majina ya watu.
OR TAMISEMI Haya ndio maelekeozo mliyowapa maofisa Uandikishaji? Bado mnasema huu uchaguzi hauna uchakachuaji?
Haya yana baraka za nani? Kwa nini mnapenda kulipelekaTaifa kama watu wote ni wendawazimu na Nyie ndio werevu?
Pia soma:LGE2024 - Nini kimetokea kiasi kwamba Wananchi hawataki kujiandikisha hadi wanafatwa majumbani na wanatoa majibu ya dharau kwa wahamasishaji?