Elvis Legacy JF-Expert Member Joined Aug 10, 2017 Posts 3,984 Reaction score 5,820 Oct 16, 2024 #21 CC: Lucas Mwashambwa
ndammu JF-Expert Member Joined Apr 21, 2017 Posts 3,971 Reaction score 4,440 Oct 16, 2024 #22 Ccm bila ya hizo figisu haina uwezo wa kushinda.
M Matrix19 JF-Expert Member Joined Feb 24, 2020 Posts 7,731 Reaction score 13,611 Oct 16, 2024 #23 Nyendo said: Kwani saini za watu zinasainiwa na wakala? Mbona hizi sahihi zinonekana kusiniwa na mtu mmoja? Halafu Majina hakuna ila kuna sahihi daah nchi hii ni kama iko kwenye mfuko wa shati wa cham fulni View attachment 3126463 Click to expand... 2020 Vs 2024. Bado hamjajua box la kura na tume iliyojaa makada wa kijani sio namna sahihi ya kuitoa CCM? Mtaenda kupoteza muda tena halafu mtakuja na wimbo wa "tumeibiwa tena".
Nyendo said: Kwani saini za watu zinasainiwa na wakala? Mbona hizi sahihi zinonekana kusiniwa na mtu mmoja? Halafu Majina hakuna ila kuna sahihi daah nchi hii ni kama iko kwenye mfuko wa shati wa cham fulni View attachment 3126463 Click to expand... 2020 Vs 2024. Bado hamjajua box la kura na tume iliyojaa makada wa kijani sio namna sahihi ya kuitoa CCM? Mtaenda kupoteza muda tena halafu mtakuja na wimbo wa "tumeibiwa tena".
F FATHER OF HISTORY JF-Expert Member Joined Aug 15, 2012 Posts 915 Reaction score 638 Oct 16, 2024 #24 MamaSamia2025 said: Wewe mpuuzi huoni hiyo column ni kwa ajili ya mwandikishaji? Click to expand... Jibu na swali Kwa nini ameruka nafasi?
MamaSamia2025 said: Wewe mpuuzi huoni hiyo column ni kwa ajili ya mwandikishaji? Click to expand... Jibu na swali Kwa nini ameruka nafasi?
blogger JF-Expert Member Joined Mar 13, 2012 Posts 12,112 Reaction score 15,060 Oct 16, 2024 #25 Dah.. Haya Mambo yatazidisha chuki kali zaidi kwa walimu..
MamaSamia2025 JF-Expert Member Joined Mar 29, 2012 Posts 14,588 Reaction score 32,361 Oct 16, 2024 #26 cencer09 said: Wewe utakuwa mpumbavu kwa hiyo hiyo column ya mwandikishaji anasaini labda ya kuandika jina la mpiga kura? Click to expand... Wewe K hujui kusoma?
cencer09 said: Wewe utakuwa mpumbavu kwa hiyo hiyo column ya mwandikishaji anasaini labda ya kuandika jina la mpiga kura? Click to expand... Wewe K hujui kusoma?
mjumbe wa bwana JF-Expert Member Joined Sep 19, 2016 Posts 5,252 Reaction score 6,118 Oct 16, 2024 #27 Mbona daftari nililoandikishiwa Kama kwa juu lilikuwa ma sehemu ya kuonyesha mkoa, wilaya na Kijiji
Shadow7 JF-Expert Member Joined Sep 28, 2020 Posts 24,606 Reaction score 39,289 Oct 16, 2024 #28 Nyendo said: Kwani saini za watu zinasainiwa na wakala? Mbona hizi sahihi zinonekana kusiniwa na mtu mmoja? Halafu Majina hakuna ila kuna sahihi daah nchi hii ni kama iko kwenye mfuko wa shati wa cham fulni View attachment 3126463 Click to expand... Hapo anakadiria umri na jinsia
Nyendo said: Kwani saini za watu zinasainiwa na wakala? Mbona hizi sahihi zinonekana kusiniwa na mtu mmoja? Halafu Majina hakuna ila kuna sahihi daah nchi hii ni kama iko kwenye mfuko wa shati wa cham fulni View attachment 3126463 Click to expand... Hapo anakadiria umri na jinsia