TAMISEMI ili la kuacha Halmashauri ziwapangie Ajira Mpya vituo vya kazi, limezalisha Rushwa ,hususan Rushwa ya Ngono !!

TAMISEMI ili la kuacha Halmashauri ziwapangie Ajira Mpya vituo vya kazi, limezalisha Rushwa ,hususan Rushwa ya Ngono !!

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
25,725
Reaction score
78,589
Sijui Hilo wazo alilitoa nani, ni wazo la kijinga kupindukia.

Nani asiyejua Halmashauri zetu zilivyo?.

Mdogo wangu ananipigia simu, Brother Kuna MTU hapa ananilazimisha mapenzi ndio Sasa anipangie Kituo kilicho Maeneo ya Mjini.

Mdogo wangu anaenda mbali anadai, Kuna Rafiki yake katembea na jamaa wa Halmashauri kampangia tayari Kituo.

Mdogo wangu ananiambia Kuna wenzake waloreport ambao wao ni jinsia ya kiume wanaombwa Pesa .

Yote Kwa yote asotoa ngono au Pesa anapelekwa Ndani Ndani kama Adhabu .


Sasa TAMISEMI inamaana Mlishindwa kuzipa maelekezo Halmashauri zote ziwape majina ya Vituo na uhitaji wa Kila Kituo, mkapeleka watu Moja Kwa Moja vituoni??.
 
Sijui Hilo wazo alilitoa nani, ni wazo la kijinga kupindukia.

Nani asiyejua Halmashauri zetu zilivyo?.

Mdogo wangu ananipigia simu, Brother Kuna MTU hapa ananilazimisha mapenzi ndio Sasa anipangie Kituo kilicho Maeneo ya Mjini.

Mdogo wangu anaenda mbali anadai, Kuna Rafiki yake katembea na jamaa wa Halmashauri kampangia tayari Kituo.

Mdogo wangu ananiambia Kuna wenzake waloreport ambao wao ni jinsia ya kiume wanaombwa Pesa .

Yote Kwa yote asotoa ngono au Pesa anapelekwa Ndani Ndani kama Adhabu .


Sasa TAMISEMI inamaana Mlishindwa kuzipa maelekezo Halmashauri zote ziwape majina ya Vituo na uhitaji wa Kila Kituo, mkapeleka watu Moja Kwa Moja vituoni??.
Pole Sana brother .
Ikiwa unahisi anaweza kumrekodi au kumhoji vizuri na ikiwezekana kumfikisha sehemu ya kufanya tukio ,tafadhali naomba location ya hiyo halmsahuri na nitakuwa nyuma ya tukio kabla ya kutokea ili kuwakomesha Hawa nguruwe pori
 
Mwambie akatae apangwe ndani ndani tena ikibidi aombe mfundishe kuwa mtabe
 
Sijui Hilo wazo alilitoa nani, ni wazo la kijinga kupindukia.

Nani asiyejua Halmashauri zetu zilivyo?.

Mdogo wangu ananipigia simu, Brother Kuna MTU hapa ananilazimisha mapenzi ndio Sasa anipangie Kituo kilicho Maeneo ya Mjini.

Mdogo wangu anaenda mbali anadai, Kuna Rafiki yake katembea na jamaa wa Halmashauri kampangia tayari Kituo.

Mdogo wangu ananiambia Kuna wenzake waloreport ambao wao ni jinsia ya kiume wanaombwa Pesa .

Yote Kwa yote asotoa ngono au Pesa anapelekwa Ndani Ndani kama Adhabu .


Sasa TAMISEMI inamaana Mlishindwa kuzipa maelekezo Halmashauri zote ziwape majina ya Vituo na uhitaji wa Kila Kituo, mkapeleka watu Moja Kwa Moja vituoni??.
aende tu huko ndani ndani apate check namba mengine baadaye
 
Aende ndani ndani sasa. Au anataka mjini?
 
Haya maneno sio mageni jijini, mbona linaripotiwa kila watu wakipangwa kazi huko halmashauri, na sio halmashauri tu hili jambo limeota mizizi kuanzia huko juu,
Michepuko inapewa vitengo kama vyote
Ngoja na mimi nipambane nikalambe asali huko juu
 
Back
Top Bottom