Njaa kali30
Member
- Jul 18, 2021
- 47
- 28
Kwa heshima na taaadhima ninaomba malalamiko haya yawafikie tamisemi na wizara ya elimu.
Imekuwa tabia ya muda mrefu sana kwa watumishi wanaofanya kazi katika halmashauri ya songwe kukaaa kituo kimoja kwa mda mrefu mfanyakazi anaweza kukaakituo kimoja zaidi ya miaka 13.
Wafanyakazi wamekuwa wakiomba kuhamishiwa vituo vingine lakini cha ajabu wamekuwa wakikataliwa mimi nina zaidi ya miaka 15 kwenye kituo kimoja nimeomba kuhama nakataliwa imekuwa kama kazi za kukomoana. Mazingira yenyewe magumu balaaa ukipitwa ngari moja kulipata jingine mpaka siku inayofuata jamani hebu tamisemi na wizara ya elimu itusaidie.
Pili wilaya hii pamoja na kuwa matokeo mabovu ni wilaya ambayo watu hawaendi likizo wala kupumzika. Kwani kazi zote muhimu ufanyika wakati wa likizo ambapo mfanyakazi hutakiwa kupumzika. Sasa wakubwa wanakwambia muda huo ndio watu hutakiwa kuwafanya kazi wamekuwa kama mabosi wa kihindi ukisimama wanadhani hufanyi kazi bora akutume uchezee aharubu zake ni hatari sana.
Tamisemi tukumbukeni wakati wa mapumziko watu wapumzike kweli na silonglongo
Imekuwa tabia ya muda mrefu sana kwa watumishi wanaofanya kazi katika halmashauri ya songwe kukaaa kituo kimoja kwa mda mrefu mfanyakazi anaweza kukaakituo kimoja zaidi ya miaka 13.
Wafanyakazi wamekuwa wakiomba kuhamishiwa vituo vingine lakini cha ajabu wamekuwa wakikataliwa mimi nina zaidi ya miaka 15 kwenye kituo kimoja nimeomba kuhama nakataliwa imekuwa kama kazi za kukomoana. Mazingira yenyewe magumu balaaa ukipitwa ngari moja kulipata jingine mpaka siku inayofuata jamani hebu tamisemi na wizara ya elimu itusaidie.
Pili wilaya hii pamoja na kuwa matokeo mabovu ni wilaya ambayo watu hawaendi likizo wala kupumzika. Kwani kazi zote muhimu ufanyika wakati wa likizo ambapo mfanyakazi hutakiwa kupumzika. Sasa wakubwa wanakwambia muda huo ndio watu hutakiwa kuwafanya kazi wamekuwa kama mabosi wa kihindi ukisimama wanadhani hufanyi kazi bora akutume uchezee aharubu zake ni hatari sana.
Tamisemi tukumbukeni wakati wa mapumziko watu wapumzike kweli na silonglongo