LGE2024 TAMISEMI: Kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa Mwaka 2024 zitaanza tarehe 20 hadi 26, Novemba

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
..uchaguzi serikali za mitaa utasimamiwa na Mh.Mchengerwa Waziri wa Tamisemi.

..Mh.Mchengerwa ni mkwe wa Rais Samia ambaye chama chake kinashiriki.
Linalo nishangaza zaidi mie ni kuto uwekea umuhimu uchaguzi huu kwa vyama vya upinzani!
Inawezekani uelewa wangu juu ya umuhimu wa uchaguzi huu ni finyu zaidi kuliko wanavyo uchukulia vyama vingine vya siasa, tofauti na CCM!
 
CCM kuendelea kubaki madarakani au kushinda Uchaguzi wa Siasa hapa Tanzania haitegemei kupigiwa Kura na mtu yoyote yule ktk Uchaguzi wa Siasa
Watu wanakuwa Wazito kuelewa, mtangaza matokeo anateuliwa na anaegombea Urais,

Pia sheria inasema akishatangaza hakuna chombo chochote kinachoweza kuhoji uhalali wake, hata mahakama,

Unaambiwa kuna Tume Huru Ya Uchaguzi, halafu wamebaki kina Kailima waliocheza zafu Za 2020, huo ni uwendawazimu,

Nape Nnauye na Bushiri Kakurwa waliongea ukweli, lazima watumie Dola kubaki madarakani
 
Sasa sijui mnatofautiana wapi, maana naona nyote mko kwenye ukurasa mmoja!
 
Chadema msisusie huu uchaguzi mtaathiri uchumi wetu sisi makarani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…