LGE2024 TAMISEMI: Kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa Mwaka 2024 zitaanza tarehe 20 hadi 26, Novemba

LGE2024 TAMISEMI: Kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa Mwaka 2024 zitaanza tarehe 20 hadi 26, Novemba

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
..uchaguzi serikali za mitaa utasimamiwa na Mh.Mchengerwa Waziri wa Tamisemi.

..Mh.Mchengerwa ni mkwe wa Rais Samia ambaye chama chake kinashiriki.
Linalo nishangaza zaidi mie ni kuto uwekea umuhimu uchaguzi huu kwa vyama vya upinzani!
Inawezekani uelewa wangu juu ya umuhimu wa uchaguzi huu ni finyu zaidi kuliko wanavyo uchukulia vyama vingine vya siasa, tofauti na CCM!
 
CCM kuendelea kubaki madarakani au kushinda Uchaguzi wa Siasa hapa Tanzania haitegemei kupigiwa Kura na mtu yoyote yule ktk Uchaguzi wa Siasa
Watu wanakuwa Wazito kuelewa, mtangaza matokeo anateuliwa na anaegombea Urais,

Pia sheria inasema akishatangaza hakuna chombo chochote kinachoweza kuhoji uhalali wake, hata mahakama,

Unaambiwa kuna Tume Huru Ya Uchaguzi, halafu wamebaki kina Kailima waliocheza zafu Za 2020, huo ni uwendawazimu,

Nape Nnauye na Bushiri Kakurwa waliongea ukweli, lazima watumie Dola kubaki madarakani
 
..hujuma haipo ktk kudumbukiza kura tu.

..inaanzia kwenye kanuni za uchaguzi, kuandikisha wapigakura, kuandikisha wagombea na mawakala, kuandikisha wasimamizi, kupiga na kuhesabu Kira, kutangaza washindi.

..mratibu na msimamizi wa shughuli zote hizo nyeti ni, Mh.Mchengerwa mkwe wa Rais Samia, ambaye ni Mwenyekiti wa chama kimojawapo kinachoshiriki uchaguzi.
Sasa sijui mnatofautiana wapi, maana naona nyote mko kwenye ukurasa mmoja!
Je, unaelewa maana ya "Serikali ya kidemokrasia na inayowajibika kwa Wananchi???"
Je, unaelewa maana ya Utawala wa Sheria??
FYI: Vitu hivyo vikiwepo hizo hujuma unazodai kuwepo basi hazitapata nafasi kufanyika.

Tatizo tulilonalo hapa Tanzania ni kwamba:-
1. Katiba iliyopo siyo nzuri hata kidogo, ni Katiba mbovu.
2. Hakuna Serikali Wala Utawala wa kidemokrasia unaozingatia Rule of law.
3. Serikali haiwajibiki kwa Wananchi.

Vyote vitatu kwa pamoja ndio kiini Cha kuwepo kwa matatizo mengi au yote ya Kiutawala yaliyopo hivi Sasa hapa nchini, pia imesababisha hali ya Wananchi kukosa kuaminiana.
 
Chadema msisusie huu uchaguzi mtaathiri uchumi wetu sisi makarani
 
1723714882012.jpeg
1723714995728.jpeg
1723715020903.jpeg
1723715042882.jpeg
1723715072139.jpeg
1723715088603.jpeg
1723715103918.jpeg
1723715205793.jpeg
1723715225813.jpeg
1723715242290.jpeg
1723715268733.jpeg
1723715308846.jpeg
1723715328101.jpeg
1723715344472.jpeg
1723715359748.jpeg
1723715382041.jpeg
1723715450084.jpeg
1723715463876.jpeg
1723715481052.jpeg
1723715511818.jpeg
1723715529092.jpeg
1723715551703.jpeg
1723715567094.jpeg
1723715582106.jpeg
1723715601294.jpeg
1723715623666.jpeg
1723715637400.jpeg
1723715660575.jpeg
1723715679799.jpeg
1723715701857.jpeg
 
Back
Top Bottom