TAMISEMI kuwasilisha bajeti yake bungeni kesho 16/04/2024

TAMISEMI kuwasilisha bajeti yake bungeni kesho 16/04/2024

BWANKU M BWANKU

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2019
Posts
377
Reaction score
435
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mohamed Mchengerwa kesho Jumanne Aprili 16, 2024 atawasilisha Hotuba ya Bajeti ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara hiyo kwa mwaka wa Fedha 2024/25.

Hii ni Wizara ya Wananchi, basi kesho Watanzania wote kuanzia Saa 3 asubuhi tufuatilie kujua yanayokwenda kufanyika. Utafuatili kupitia TAMISEMI TV na Vyombo vingine mbalimbali vya habari.

IMG-20240415-WA0092.jpg
 
Moja ya voongozi kichwa sana huyu sasa sijui kana atakumbuka kulipa malimbikizo ya watumishi.
 
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mohamed Mchengerwa kesho Jumanne Aprili 16, 2024 atawasilisha Hotuba ya Bajeti ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara hiyo kwa mwaka wa Fedha 2024/25.

Hii ni Wizara ya Wananchi, basi kesho Watanzania wote kuanzia Saa 3 asubuhi tufuatilie kujua yanayokwenda kufanyika. Utafuatili kupitia TAMISEMI TV na Vyombo vingine mbalimbali vya habari.

View attachment 2964485
Hatufuatilii habari za majizi ya kura.
 
Tusubiri kama bajeti itakuwa na mwelekeo wa kupunguza "jobless" mtaani.
NB. Binafsi nategemea watumishi wenye malimbikizo ya madai wataenda kuneemeka kwa bajeti 2024/2025. Kwa sababu mwakani 2025 watatumika kama ngazi kurudi kwenye kiti.
 
Back
Top Bottom