TAMISEMI kwanini mmewapangia wnafunzi shule ambazo hawakuzichagua?

TAMISEMI kwanini mmewapangia wnafunzi shule ambazo hawakuzichagua?

Joined
Aug 15, 2016
Posts
47
Reaction score
46
Tamisemi japo mlitoa nafasi za wanafunzi kufanya upya machaguo ya shule za advance kupitia mfumo wenu wa selform lakin cha ajabu mewapangia wanafunzi wengi shule tofauti na zile walizochagua despite ufaulu wao kuwa mzuri lakin bado mmewatupa ktk shule za ajabu ambazo hawakuchagua
Je,nini maana ya wanafunzi kuchagua shule ilihali nyie mnapanga kwa matakwa yenu bila kuzingatia machagu o yao na ufaulu wao?
 
Imagine watoto elf 5 wamechagua shule moja wewe kama Tamisemi ungefanyaje?
Ndio matumizi ya akili yanapohitajika. Ilipaswa mzigawe shule kwenye zoning na kulingana na ufaulu. Wakati wetu wa primary, ilikuwa unachagua shule nne. Ya vipaji maalum, ya ufundi, kilimo na Day ( mara nyingi regional level). Sijajua siku hizi mnafanyaje. Hivyo wanafunzi 5000 wasingeweza kuchagua shule moja kwa vyovyote vile. Kuna mwanafunzi anajua kabisa Mzumbe si size yake, angechagua shule ya hadhi take. Of course, smoothing ingekuwepo lakini si kiwango kikubwa.
 
Mkulima hachagui jembe. Hamnaga shule za ajabu Tanzania.

"Waambie wali wale waje kula wali wao".
 
Mpeleke mtoto kwwnye Shule yenye hadhi yake. Bado nafasi unayo. Karne Hii unafikir Shule itamfaulisha mwanao...au itakufaulisha
 
Back
Top Bottom