Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikweli ndugu mimi pia ni muhanga wa kukosa ajira chuo chetu korogwe dip karibuni 195 tumekosa ajira chaajabu wametoa st.john wangine wakituacha kwanini lakini??????!!!!.Mpaka leo hatuoni jipya zaidi ya kushuhudia wahitimu wa sjut dodoma tu kupangiwa vituo vya kazi,sasa na sisi hatima ya ajira yetu ipi?jamani tamisemi muwe na huruma na watoto wa watanzania wenzenu,tupeni haki yetu ya ajira maana sifa tunazo.
Jamani kwanini tusinge tafuta mwandishi wa gazeti mfano MWANANCHI iliafuatilie jambo hili kwakaribu????.
kiukweli wadau JF tuungane kwa kuwakumbusha,maana hata Morogoro chuo cha ualimu tipo ktk janga hilo
Mwalimu kwanini usifike ofisini kujua kinachoendelea?Dah!Mtu anaweza kufariki kwa stress eti
Jamani kwanini tusinge tafuta mwandishi wa gazeti mfano MWANANCHI iliafuatilie jambo hili kwakaribu????.
cc Manyerere Jackton Adrian Stepp hawa waandishi.. watakusaidia
Evelyn,They promised us to wait until 1st of may.Ndo kitu tunafanya kwa sasa