TAMISEMI mfumo wenu wa Tausi unainyima mapato Serikali

TAMISEMI mfumo wenu wa Tausi unainyima mapato Serikali

Ustadh tongwe

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2020
Posts
717
Reaction score
1,903
Nnakubali mfumo wenu umekuwa mkombozi sana kwetu wafanyabiashara imepunguza msongamano kwenye halmashauri ila kuna mapungufu myafanyie kazi maana mimi nna miezi 2 nnafanya kazi bila leseni. Sio kwa kupenda ila mfumo wenu hautaki maana mimi nna biashara ya hardware, nna godowns 4 nimetolea Moja hizo nyingine tatu mfumo unakataa siwezi kutoa nyingine kwahiyo nnatumia hiyo hiyo leseni moja tu kwahiyo laki 9 ya leseni mmeikataa kwenye mfumo.

Screenshot_20240723-062538.jpg
 
Wazalendo kama wewe ndo tunawataka mkuu
Tulipe Kodi kwanza halafu ndio tulaumu Serikali sio Kodi hulipi halafu unalalamika hakuna Barabara kama una watu wa IT wa Tamisemi unawafahamu walishughulikie hili halikuwepo wameliweka hivi karibuni la kukataa huwezi kuwa na leseni mbili za biashara Moja wakati watu wanamiliki hadi biashara 5 kwann uweke limit ya idadi kwamba ukitaka leseni nyingine terminate leseni iliyopita sio sawa.
 
Nnakubali mfumo wenu umekuwa mkombozi sana kwetu wafanyabiashara imepunguza msongamano kwenye halmashauri Hila Kuna mapungufu muyafanyie kazi maana Mimi nna miezi 2 nnafanyakazi bila leseni sio kwa kupenda Hila mfumo wenu hautaki maana Mimi nna biashara ya hardware nna godowns 4 nimetolea Moja hzo nyingne tatu mfumo unakataa siwezi kutoa nyingine kwahyo nnatumia hyo hyo leseni moja tu kwahyo laki 9 ya leseni mmeikataa kwenye mfumo
Unachofanya unakosea, TAFUTA KWANZA ELIMU.

Katia subsdiary boss, inaandika hivyo kwasababu tayari una principle license.

Wasiliana Trade officer wa halmashauri yako kwa elimu zaidi.

#YNWA
 
Tausi mfumo wake unachekesha sana tena swala la kununua ardhi ndio utaona kwa nini jerry hakutakiwa kuwepo.
 
Nnakubali mfumo wenu umekuwa mkombozi sana kwetu wafanyabiashara imepunguza msongamano kwenye halmashauri Hila Kuna mapungufu muyafanyie kazi maana Mimi nna miezi 2 nnafanyakazi bila leseni sio kwa kupenda Hila mfumo wenu hautaki maana Mimi nna biashara ya hardware nna godowns 4 nimetolea Moja hzo nyingne tatu mfumo unakataa siwezi kutoa nyingine kwahyo nnatumia hyo hyo leseni moja tu kwahyo laki 9 ya leseni mmeikataa kwenye mfumo
Umekosea kwenye Application hukutakiwa Kuomba Lesseni Mpya Ila ulitakiwa Kuhuisha lesseni Uliyonayo..

So Far Mfumo uko Vizuri sana jaribu Kuhuisha Lesseni yako Utapata
 
Umekosea kwenye Application hukutakiwa Kuomba Lesseni Mpya Ila ulitakiwa Kuhuisha lesseni Uliyonayo..

So Far Mfumo uko Vizuri sana jaribu Kuhuisha Lesseni yako Utapata
Nnafahamu vizuri hzo kurenew Hila leseni mpya Kwa mfumo walioweka Sasa hv ndio unakataa km unabiashara nyingi za aina Moja ,basi aina jinsi leseni ya godown moja ntaitoa copy ntatumia kote
 
Leseni ni mpya mkuu
Chukua wazo la huyo jamaa hzo nyingine ni subsidiary maana leseni ili uipate unaitaji kuwa na tax clearance ya TRA yenye jina lako ambayo utakatia leseni kuu hzo nyingine ni subsidary zinajadilika kamuone afisa biashara wa wilaya yako
 
Nnafahamu vizuri hzo kurenew Hila leseni mpya Kwa mfumo walioweka Sasa hv ndio unakataa km unabiashara nyingi za aina Moja ,basi aina jinsi leseni ya godown moja ntaitoa copy ntatumia kote
Bhasi Unatakiwa Kuifanya Kama Branch Itakubali na sio Biashara Kuu..
So unatakiwa Kuwa na TIN number nyingine inayotaja Biashara hiyo kama Branch
 
Back
Top Bottom