Dkt. Grace Magembe naibu katibu mkuu OR TAMISEMI awapa ukweli waandishi wa habari na serikali kwenda kijiditali katika kuelimisha umma wakati wa semina ya kuwajengea uwezo Waandishi wa Habari wasambaze taarifa sahihi na hasa kipindi hiki kuelekea 27 November 2024.
Dkt. Grace Magembe anasisitiza taarifa ziwe zinalenga zaidi wananchi wasikie wagombea wananadi sera gani, na kutambua umuhimu wa uchaguzi wa serikali za mitaa, vitongoji na vijiji pia kuzingatia weledi taaluma na haki kwa wagombea wa vyama vyote bila upendeleo.
Dr. Grace Magembe asisitiza habari zizingatie amani, upendo na siyo kuchochea taharuki.