Mjomba ni Mama
Member
- Jun 25, 2015
- 69
- 32
Kwa wazoefu ni lini pdf zita toka za walio pata ajira tamisemi na Wizara
Tumechoka kusubiri
Tumechoka kusubiri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dogo tulia haraka ya nini?Kwa wazoefu ni lini pdf zita toka za walio pata ajira tamisemi na Wizara
Tumechoka kusubiri
Second week of juneKwa wazoefu ni lini pdf zita toka za walio pata ajira tamisemi na Wizara
Tumechoka kusubiri
lakini kwenye maelezo wao walisema wanaajili kablya ya mwakabhuu wa fedha kuishaMpaka mwaka wa fedha uanze,July 2022
Second week of Junelakini kwenye maelezo wao walisema wanaajili kablya ya mwakabhuu wa fedha kuisha
uhakika mkuu? au unabashiriSecond week of June
Not easy folkSoon pdf linawekwa mubashara.. Mshahara wa juni jiandae kuula bia wote
Nausubiri huo mkeka,Soon pdf linawekwa mubashara.. Mshahara wa juni jiandae kuula bia wote
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]AminaPDF hii Mungu akajidhihirishe kuwa hata sasa wewe ni hebeneza. Amen
Mpe ajira hapo shuleni kwako ifakaraa[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Amina