TAMISEMI toeni ufafanuzi wa kuhama ambao huwa unakataliwa na Halmashauri

TAMISEMI toeni ufafanuzi wa kuhama ambao huwa unakataliwa na Halmashauri

Flora30

Member
Joined
Aug 13, 2022
Posts
13
Reaction score
21
Kuna vitu sivielewi yaaani halmashauri ya wilaya inaweza kukaidi maelekezo yanayotolewa na tamisemi. Yaani kibali cha kuhama tamisemi kinatoka wilayani wanakwambia uhami mpk ubadilishane? Sijajua chain of command inakuwaje?! Nisaidiiane wana jamvi
 
Hata mimi ilinitokea mwezi wa sita barua imetoka ya uhamisho ,Mkurugenzi akawa ananiambia kama umehama bila kubadilishana hakuna kuondoka lakini nilikomaa mpaka akanisainia nkaondoka
 
Kuna vitu sivielewi yaaani halmashauri ya wilaya inaweza kukaidi maelekezo yanayotolewa na tamisemi. Yaani kibali cha kuhama tamisemi kinatoka wilayani wanakwambia uhami mpk ubadilishane? Sijajua chain of command inakuwaje?! Nisaidiiane wana jamvi
Komaa mama, huyo DED atabanaa na mwishowe ataachia..!!!

#YNWA
 
Tanzania kuna uonevu sana. Mfanyakazi amekaa kituo kimoja kwa miaka zaidi ya 10! Anaomba uhamisho wa kujigharamia mwenyewevkwenda Halmashauri nyingine, na kwa sababu zake za msingi; ikiwemo ya kuwa karibu na mwenzi wake!

Amiomba uhamisho anaambiwa atafute mtu wa kubadilishana naye! Halafu mfanyakazi kama huyu akikosa huyo mtu wa kubadilishana naye, na kuamua kwenye hicho kituo chake cha kazi, bado anatakiwa kufanya kazi kwa ari na moyo!!

Hii sheria ya kubadilishana ni ya kidwanzi sana. Na aliyeianzisha naamini kabisa kichwani mwake kumejaa matope.
 
Tanzania kuna uonevu sana. Mfanyakazi amekaa kituo kimoja kwa miaka zaidi ya 10! Anaomba uhamisho wa kujigharamia mwenyewevkwenda Halmashauri nyingine, na kwa sababu zake za msingi; ikiwemo ya kuwa karibu na mwenzi wake!

Amiomba uhamisho anaambiwa atafute mtu wa kubadilishana naye! Halafu mfanyakazi kama huyu akikosa huyo mtu wa kubadilishana naye, na kuamua kwenye hicho kituo chake cha kazi, bado anatakiwa kufanya kazi kwa ari na moyo!!

Hii sheria ya kubadilishana ni ya kidwanzi sana. Na aliyeianzisha naamini kabisa kichwani mwake kumejaa matope.
Hakuna mahali popote kwenye sheria inataka uhamisho wa kubadilishana ni wapuuzi tu ndio wameleta hii upuuzi...na waliotumika sana ni walimu.

Uhamisho unafahamika na tartibu zake kulingana na sheria.

#MaendeleoHayanaChama
 
Hakuna mahali popote kwenye sheria inataka uhamisho wa kubadilishana ni wapuuzi tu ndio wameleta hii upuuzi...na waliotumika sana ni walimu.

Uhamisho unafahamika na tartibu zake kulingana na sheria.

#MaendeleoHayanaChama
Hili jambo linakera sana kwa kweli. Na kimsingi linachangia pia kwenye kuzorotesha utoaji wa huduma bora, kwa wafanyakazi wengi waliozuiliwa kuhama kwa sababu tu za kipuuzi.
 
Kuna vitu sivielewi yaaani halmashauri ya wilaya inaweza kukaidi maelekezo yanayotolewa na tamisemi. Yaani kibali cha kuhama tamisemi kinatoka wilayani wanakwambia uhami mpk ubadilishane? Sijajua chain of command inakuwaje?! Nisaidiiane wana jamvi
Hicho kibali umekiona?
Anyway,Waulize kama wanabishana na katibu mkuu au vipi. Au uende kwa katibu tawala wa mkoa.
Ukishindwa useme.
 
Tanzania kuna uonevu sana. Mfanyakazi amekaa kituo kimoja kwa miaka zaidi ya 10! Anaomba uhamisho wa kujigharamia mwenyewevkwenda Halmashauri nyingine, na kwa sababu zake za msingi; ikiwemo ya kuwa karibu na mwenzi wake!

Amiomba uhamisho anaambiwa atafute mtu wa kubadilishana naye! Halafu mfanyakazi kama huyu akikosa huyo mtu wa kubadilishana naye, na kuamua kwenye hicho kituo chake cha kazi, bado anatakiwa kufanya kazi kwa ari na moyo!!

Hii sheria ya kubadilishana ni ya kidwanzi sana. Na aliyeianzisha naamini kabisa kichwani mwake kumejaa matope.
Mimi nimwanasykolojia bila shaka wewe ni mwalimu. Nakushauri acha kulalamika badala yake acha hii kazi niyakitumwa
 
Back
Top Bottom