Joan lewis
JF-Expert Member
- Jan 3, 2019
- 993
- 1,463
Jaman hebu mwakahuu kwenye hizi muwakumbuke waliosoma stashahada ya uzamili. Wengine wamemalza Tangu mwaka 2014. UDSM kwanini mnawaacha?
Hakuna mtu anatafuta special seat ya mshahara ila walisoma ili wapate nafasi ya kupractice passion zao za kufundisha. Baada ya kuchaguliwa Kozi nyingine diploma or Degree. Na kama mnawasiwasi wataondoka wakipata kwingine wapeni mikataba wafanye hata Ten Years ya mwanzo. [emoji53][emoji53]
Mkiwavalia miwani Nia yenu njema itakuwa Doa Hata Mbele za Allah.
Hakuna mtu anatafuta special seat ya mshahara ila walisoma ili wapate nafasi ya kupractice passion zao za kufundisha. Baada ya kuchaguliwa Kozi nyingine diploma or Degree. Na kama mnawasiwasi wataondoka wakipata kwingine wapeni mikataba wafanye hata Ten Years ya mwanzo. [emoji53][emoji53]
Mkiwavalia miwani Nia yenu njema itakuwa Doa Hata Mbele za Allah.