Tamisemi vipi ajira ya walimu awamu ya pili 2013/2014 lini

NUUMA BAKUNYA

Member
Joined
Feb 19, 2013
Posts
23
Reaction score
1
Kuna walimu wangi wameachwa bila kupewa ajira bask kama Kuna mtu Ana any neeeeez kutoka tamisemi naomba anijuze
 
Ndugu yangu tupo wengi xana sema amna unit mpaka sasa tamisemi awajatowa tamko lolote walisema mwezi huu wanatowa kuanzia may 1 ila hola
 
Kuna walimu wangi wameachwa bila kupewa ajira bask kama Kuna mtu Ana any neeeeez kutoka tamisemi naomba anijuze

Tumelalamika sana kwenye JF,KILICHO BAKI NIKUPANGA SIKU NAKUELEKEA DODOMA,watuambie kama hawato tuajiri waseme mapema tutafute chakufanya nasio kutuweka njia panda.
Wakuu mimi nipotayari,ipangwe tu siku maalumu.
 
dah!yaani hawa tamisemi wao wanasema tu msubiri,cjui mpaka lini?
 
what next wakuu?,maana leo ni karibia nusu ya mwezi wa tano but no news from tamisemi about us(the victims of unemployment)
 
what next wakuu?,maana leo ni karibia nusu ya mwezi wa tano but no news from tamisemi about us(the victims of unemployment)

Yani hii wizara ovyo kabisa nikiangalia ile website yao na wanavyoongea ukienda pale ofic zao utasikia kila kitu tutaweka kwenye mtandao uwo mtandao kazi kuedit ma picha sijakiona cha zaidi.
 
hakuna ajira tena kwa mwaka huu,subirini mwakani.
SOURCE: kasim majaliwa TBC1
 
Vyuo vya ualimu vifungwe kama hakuna ajira wafungue vyuo vya upishi na uselemala.
 
Kilichobaki twendeni dodoma tamisemi,watuambie nini kinaendelea
 
Izo taarifa kazitoa lini

Leo tar.10.5.2014 akiwa Dodoma,majaliwa kasim na jenista muhagama walikuwa wanahojiwa tbc1,wameongea mengi sana likiwemo hilo la ajira ya walimu.nanukuu "serikali itaajiri tena walimu wapya mwakani" kama huamini wee subiri.
 
Ina maana hata nyongeza kwa wale ambao hawakuripoti haitakuwepo?
 
serikali inaangalia upepo, walimu tukinyamaza ajira itakuwa mwakani, lakini tukiikomalia serikali kuhusu hatima yetu tutaajiriwa, hivyo ningeshauri tuwaeleze wabunge kilio chetu nadhani kupitia wao tutasikilizwa.
 
serikali inaangalia upepo, walimu tukinyamaza ajira itakuwa mwakani, lakini tukiikomalia serikali kuhusu hatima yetu tutaajiriwa, hivyo ningeshauri tuwaeleze wabunge kilio chetu nadhani kupitia wao tutasikilizwa.

Mkuu,umeongea pointi sana,sasa tatizo tutapataje mawasiliano yao,hususani wabunge hawa wa upinzani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…