TAMISEMI wafunguka.

Status
Not open for further replies.

DZUDZUKU

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2012
Posts
3,909
Reaction score
2,115
Habari ya mda huu ndugu walimu.

Tovuti ya TAMISEMI inafunguka mda huu lakini haina jipya. Kwa wale ambao mtaendelea kukesha mtatutaarifu nini kinaendelea.
 
Nimepitia pale! Sidhani kama wanaweza kuweka saiz!, katibu mkuu TAMISEMI yuko club si unajua leo weekend! wakuu tulale tu.SERIKALI HAIWEZI KUZUIA AJIRA BALI ITACHELEWESHA TU. usiku mwema wakuu.
 
Ni kweli website ya utumishi imefunguka ila akuna new ila tuvute subrira kidogo si siku inaisha saa 11:59 tuone inakuaje
 
nipm nikutumie umepangiwa wapi
 
Ni kweli website ya utumishi imefunguka ila akuna new ila tuvute subrira kidogo si siku inaisha saa 11:59 tuone inakuaje

Inasemekana majina ya shahada yanapatikana blog na facebook jamani..............
 
Halafu ninyi ambao mnadai majina mnayo mbona na nyinyi mpo kama TAMISEMI NA MOEVT maana hamfunguki watu wakaelewa tunapata tabu huku mitaani kuulizwa kila wakati utasikia ebhana eeh umepangiwa wapi? Hawajuw yanayotusibu kwa kweli.
 
Sasa nyie vijana mnahangaika kuwapa taarifa hao wanaosema wanamajina,hata mkijua mmepangwa wapi na serikal haijatangaza mtaenda kuripot makaburini????walim mnachezewa akili kama watoto wa nasari bhana,,,,yaan umemaliza shahada tangu nov mwaka jana unakaa tu bila kazi,mwalim wa degree,tena ukisomea degree husomei ualim tu kuna mambo meeengi,,,,,,subirin serikal itangaze hapa nawaona mnahangaika,polen sana aisee
 

usiongee usichokijua vijana wameambiwa waripoti kuanzia tarehe moja April 2014 mwisho 10 April 2014.usikalie habari acha habari isambae
 
Kama kawaida ya serikali yetu wanaweza kusema kitu halafu kitu kamili kisipatikane kwenye sehemu husika bali kwenye blog, hebu fungueni hapa, faridid zone mtapata majina sehemu ya pili, sijui ya kwanza iko wapi!!!!
 
Halafu ninyi ambao mnadai majina mnayo mbona na nyinyi mpo kama TAMISEMI NA MOEVT maana hamfunguki watu wakaelewa tunapata tabu huku mitaani kuulizwa kila wakati utasikia ebhana eeh umepangiwa wapi? Hawajuw yanayotusibu kwa kweli.

Tunatiana presha kweli.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…