TAMISEMI wametangaza ajira za afya leo kupitia Sekretarieti ya Ajira, sasa ni mwendo wa Interview

TAMISEMI wametangaza ajira za afya leo kupitia Sekretarieti ya Ajira, sasa ni mwendo wa Interview

Watu happy juu wamesema inakubali kuomba mkoa mmoja tuu
Wakuu em tujaribu kusoma comment zenye uhakika, ndugu yetu Mwifwa alishatoa maelezo kuwa unapoomba kazi flani ambayo ipo kwenye mikoa kadhaa bc ukiomba kwenye mkoa mmoja hy hy application ndio itakuwa umeomba kwenye mikoa yote yenye uhitaji wa hy ajira automatically na akaonyesha hadi picha.

Interview haiwezekani uende kila mkoa, interview n moja tuu na hao wahusika wataona namna ya kuwapangia watu vituo vya kazi.
 
Cheti ni kimoja hicho hicho cha chuo na kipo valid ,ndio kimejiattach mara mbili na programme name ni iyo iyo na chuo kimeandikwa kile kile ila imetokea mara mbili, na kuhusu recommendation letter ni kama nilivyoelezea kuwa barua ile ya kawaida ya kuomba kazi ndio imekuwa attached pale na kule mwishoni ukitaka kusubmitt ameattach tena na maombi yamekuwa received na profilr ilikuwa na 100%
Recommendations letter ina option ya kufuta, ifute.

Sehemu ya Saved Academic Qualifications ndii haina option ya kufuta, kama kitu hicho hicho kimejirudia haina shida
 
Mkuu wape vijana hints za muhimu ili angalau wapate nafasi ya kukandwa.

Kukosea application sio poa kabisa, bora ukakandwe ili ukose wa kumlaumu
Mkuu nilitype barua yang kwa computer sehemu ya kusaini nikaingiza saini ambayo nilisaini kwa mkono na barua yangu niliandika kwa kiingereza je wakuu wanawaze kunikanda japo inaonesha iko verified
.


Pili niliattach chet cha kuzaliwa kwenye other document ambacho sijaverify nataka nikitoe niweke copy iliyo verified je nitakubaliwa au application itafeli


Tatu chet cha form four na leseni niliweka ambazo haziko verified nataka nizitoe je nitafanikiwa

Natanguliza shukrani
 
Recommendations letter ina option ya kufuta, ifute.

Sehemu ya Saved Academic Qualifications ndii haina option ya kufuta, kama kitu hicho hicho kimejirudia haina shida
Maombi nilishatuma na kwenye my application inaandikwa received ,sasa nikifuta si tayari imeenda iyo barua kwenye ile sehemu ya recommendation letter, au ninaweza kufuta na kutuma tena maombi ihali yalishapokelewa?
 
Mkuu nilitype barua yang kwa computer sehemu ya kusaini nikaingiza saini ambayo nilisaini kwa mkono na barua yangu niliandika kwa kiingereza je wakuu wanawaze kunikanda japo inaonesha iko verified
.


Pili niliattach chet cha kuzaliwa kwenye other document ambacho sijaverify nataka nikitoe niweke copy iliyo verified je nitakubaliwa au application itafeli


Tatu chet cha form four na leseni niliweka ambazo haziko verified nataka nizitoe je nitafanikiwa

Natanguliza shukrani
Barua iko sawa maana lazina usaini kwa mkono baada ya kuchapa na kompyuta huwa tunaisaini kwa mkono

Kuhusu vyeti toa haraka sana kabla ya deadline,hakikisha vyeti unavyoweka ajira portal vyote vina muhuri wa mwanashaeria
Bila hivyo uingii kwenye shortlist ya utumishi
 
Barua iko sawa maana lazina usaini kwa mkono baada ya kuchapa na kompyuta huwa tunaisaini kwa mkono

Kuhusu vyeti toa haraka sana kabla ya deadline,hakikisha vyeti unavyoweka ajira portal vyote vina muhuri wa mwanashaeria
Bila hivyo uingii kwenye shortlist ya utumishi
Nashukuru sana mkuu wa wakuu....ngoja nifosi leo kuvitoa asee
 
Mkuu nilitype barua yang kwa computer sehemu ya kusaini nikaingiza saini ambayo nilisaini kwa mkono na barua yangu niliandika kwa kiingereza je wakuu wanawaze kunikanda japo inaonesha iko verified
.


Pili niliattach chet cha kuzaliwa kwenye other document ambacho sijaverify nataka nikitoe niweke copy iliyo verified je nitakubaliwa au application itafeli


Tatu chet cha form four na leseni niliweka ambazo haziko verified nataka nizitoe je nitafanikiwa

Natanguliza shukrani
Kama hujatuma maombi vitoe tu inawezekana, nenda sehemu ya edit uattach vyeti ila kama ni kufuta programme name au kudelete vyote hakuna option ya delete hasa ile sehemu ya accademic qualificatiom, na kuhus kuattach sahihi sehemu yake iliyokuwa written kwa mkono haina shida kwa sababu ata kwenye CV wengi wanafanya hivyo anaiattach ile sahihi pale mwisho ambayo iko signed kwa mkono
 
Jamani msaada ndugu zangu, nimeattach vyeti mara mbili ile sehemu ya accademic qualification kipengele cha kujaza cheti cha chuo( cheti kimeongezwa mara mbili), hii imekaaje na maombi nimeshatuma,je nitazingatiwa? Na kuna rafiki yangu pia yeye sehemu ya recommendation letter kaweka barau yake ya kuomba kazi na mwishoni pia kaiweka na maombi yameenda na hili pia linakaaje? Kwa wazoefu jamani
Hiyo Haina shida mwamba kikubwa wakati wa kuapply ulia atachi barua yako maombi!!
 
Maombi nilishatuma na kwenye my application inaandikwa received ,sasa nikifuta si tayari imeenda iyo barua kwenye ile sehemu ya recommendation letter, au ninaweza kufuta na kutuma tena maombi ihali yalishapokelewa?
Haufuti maombi bali una edit au kufuta sehemu husika kwa kuingia kwenye sehemu palipoandikwa academic qualifications kwa upande wa vyeti na other attachment kwa viambata vingine maombi yako yanabaki vilevile
Ata barua ukitaka ku edit unaweza haya yote yafanyike kabla ya deadline
 
Haufuti maombi bali una edit au kufuta sehemu husika kwa kuingia kwenye sehemu palipoandikwa academic qualifications kwa upande wa vyeti na other attachment kwa viambata vingine maombi yako yanabaki vilevile
Ata barua ukitaka ku edit unaweza haya yote yafanyike kabla ya deadline
Sawa asante sana kiongozi
 
Wakuu naombeni msaada nimeenda sehemu ya kuedit document nikapachika ambazo ziko verified na wakili mfumo ukanambia document saved

Nikarudi kuview nazikuta document zile za zamani, Hili tatizo nalisolve vipi???

Natanguliza shukrani wakuu wa wakuu
 
Mkuu nilitype barua yang kwa computer sehemu ya kusaini nikaingiza saini ambayo nilisaini kwa mkono na barua yangu niliandika kwa kiingereza je wakuu wanawaze kunikanda japo inaonesha iko verified
.


Pili niliattach chet cha kuzaliwa kwenye other document ambacho sijaverify nataka nikitoe niweke copy iliyo verified je nitakubaliwa au application itafeli


Tatu chet cha form four na leseni niliweka ambazo haziko verified nataka nizitoe je nitafanikiwa

Natanguliza shukrani
Barua haina shida, kingereza na kiswahili vinakubalika.

Hizo nyaraka zote ambazo hujacertify, zi certify halafu zipakie tena, kuzibadili kwa sasa haziwezi kudisqualify application yako.

Uzuri wa Ajira portal ni kwamba hata deadline ya application ya nafasi husika ikifika, utaweza kuendelea kubadili nyaraka zote kama kawaida endapo ukiona pana kosa, isipokuwa barua ndio hutaweza kuibadili. Hili ni tofauti na mfumo wa Tamisemi au Afya uliokuwa unatumika ambapo ulikuwa ukimaliza kuapply huwezi tena kuedit penye makosa.
 
Barua haina shida, kingereza na kiswahili vinakubalika.

Hizo nyaraka zote ambazo hujacertify, zi certify halafu zipakie tena, kuzibadili kwa sasa haziwezi kudisqualify application yako.

Uzuri wa Ajira portal ni kwamba hata deadline ya application ya nafasi husika ikifika, utaweza kuendelea kubadili nyaraka zote kama kawaida endapo ukiona pana kosa, isipokuwa barua ndio hutaweza kuibadili. Hili ni tofauti na mfumo wa Tamisemi au Afya uliokuwa unatumika ambapo ulikuwa ukimaliza kuapply huwezi tena kuedit penye makosa.
Kaka vipi kuna possibility ya interview au laah

Maana huu ni mfumo mpya.

Na una ukakasi sana bado.
 
Maombi nilishatuma na kwenye my application inaandikwa received ,sasa nikifuta si tayari imeenda iyo barua kwenye ile sehemu ya recommendation letter, au ninaweza kufuta na kutuma tena maombi ihali yalishapokelewa?
Futa sehemu ya recommendation, kuna sehemu ya delete.

Kule kwenye barua unaweza kuedit kama unavyoona, ila tarehe 20 ikifika(deadline ya application) kuke kwenye barua option ya kuedit haitaonekana tena, yaani hautaweza kuibadili hiyo barua.

Mimi niliwahi kubadili barua kwenye moja ya application zangu wakati deadline ilikuwa bado haijafika, na hilo halikuathiri maombi
 
Wakuu naombeni msaada nimeenda sehemu ya kuedit document nikapachika ambazo ziko verified na wakili mfumo ukanambia document saved

Nikarudi kuview nazikuta document zile za zamani, Hili tatizo nalisolve vipi???

Natanguliza shukrani wakuu wa wakuu
Tulia kwanza rudi baadae utakuta mabadilikl yashafanyika. Mfumo huwa unachelewa kudisplay hayo mabadiliko.
 
Kaka vipi kuna possibility ya interview au laah

Maana huu ni mfumo mpya.

Na una ukakasi sana bado.
Interview ipo ya kuandika(mchujo) na oral.

Hii ni nzuri sana utajua mwelekeo wako mapema, ukifika Oral unakuwa na probability kubwa ya kupata nafasi.

Usipopata nafasi hizi utawekwa akiba then utaweza kupangiwa sehemu nyingine nafasi zikipatikana. Unaweza kuja kushangaa wale waliobaki akiba wakalamba asali nono kwenye Taasisi kubwa kubwa.

Hivyo hakikisha unapambana ufike Oral
IMG-20240710-WA0009.jpg
 
Back
Top Bottom