TAMISEMI wametangaza ajira za afya leo kupitia Sekretarieti ya Ajira, sasa ni mwendo wa Interview

Huyo ni mgeni wa interview za utumishi hahahahah kukandwa lazima akandwe😜😜😜😜😜😜😜 anafikiri kutakuwa na msamaha wengine hawatafanya usahili
 
Hizi ajira ni mpya tujiandae kwa lolote.

Kama kitakuwa na interview sina uhakika hawatadeal na address nadhani tutafanya mkoa uliombea.

Tusubiri tuone
Hakuna cha ajira ni mpya mfumo haujaanza leo sema ugeni wa kutumia mfumo na mtafunzwa kwa kutoitwa kwenye usaili ili siku nyingine muwe makini kwa kila mnachokifanya kwa hiyo nakushauri ufanye kila jambo kwa uhakika! Adress ina maana kubwa kwenye usaili maana yake utafanya usaili pale ulipo na ata mkuwa elfu tano wote mtafanya siku hiyo! Kama umeandika dar au pwani maana kunaweza kuwa na kituo cha kanda ya pwani ambapo mfano kikawa Veta chang’ombe na wote vijana mkakandiwa pale hadi mnaisha! Mnafungiwa mnafanya kwa mafungu na uzuri simu,mabegi mnapewa baada ya kumaliza usaili!
 
Huyo ni mgeni wa interview za utumishi hahahahah kukandwa lazima akandwe😜😜😜😜😜😜😜 anafikiri kutakuwa na msamaha wengine hawatafanya usahili
Jamaa inaonyesha anaogopa knoma interview, na kama kutakuwa na interview sidhan kama ataenda huyu lazima alale home kuendelea kusubiri kazi zisizokuwa na Interview
 
Kuna mtu nina jaribu kumuombea nafasi za afya, nimesha sajili akaunti, tatizo nikianza tu ku apply hiyo nafasi inaandika Account Inactive, je nifanye nini hapo?
 
Jamaa inaonyesha anaogopa knoma interview, na kama kutakuwa na interview sidhan kama ataenda huyu lazima alale home kuendelea kusubiri kazi zisizokuwa na Interview
Interview lazima wafanye ndio maana wameletwa eneo la mkando hahahaha🤣🤣🤣🤣🤣

Halafu wataanzwa kukandwa kwa kupunguzwa kutokana na makosa ya kutosign barua na mambo mengine! Ukiangalia mtiririko wa humu na aina ya maswali humu utagundua sana kulikuwa kuna fanyika makosa makubwa kuwapangia vituo watu bila kufanya interview! Interview zinaongeza umakini sana
 
Huyu jamaa inabidi atuonyeshe akaunti yake kuanzia mwanzo hadi mwisho ili kama kuna makosa tumsaidie kurekebisha kabla ya deadline

Utawala2025
 
Subiri uitwe kwanza kwenye usahili then uta update anwani yako utakapokuwepo kwa muda huo ili uweze kufanya usahili sehemu uliyopo.

Kama kwa sasa upo Ruvuma, ila baadae wakati wa kuitwa usahili ukawa upo Mara, ndipo uta update anwani ili uweze kufanya usahili ukiwa Mara
 
Kuna mtu nina jaribu kumuombea nafasi za afya, nimesha sajili akaunti, tatizo nikianza tu ku apply hiyo nafasi inaandika Account Inactive, je nifanye nini hapo?
Umeweka kila kitu? Umefika stage ya kuomba kazi ndio inakataa? Angalia pia vigezo na masharti! Kama kila kitu kiko sawa log out halafu log in tena ujaribu tena pengine ni shida ya mtandao tuu au server!
 

Asante sana mkuu Kwa ufafanuzi
 
Umeweka kila kitu? Umefika stage ya kuomba kazi ndio inakataa? Angalia pia vigezo na masharti! Kama kila kitu kiko sawa log out halafu log in tena ujaribu tena pengine ni shida ya mtandao tuu au server!
Kuna kitu hapa kingine, akaunti niliyomfungulia ajira portal ina utofauti na anayotumia kwenye simu yake, yaani email mbili tofauti, je hapo kwenye huo ujumbe wa kufanya akaunti yake ya ajira portal iwe active utatumwa wapi, maana ni email mbili tofauti.
 
Duh email mbili tofauti na vp khs nida?
 
Bro, sijakuelewa.
Yn atulie mpaka atakapoitwa interview ndio abadili anuani kvp wakat wakiitwa maana ake tayari watakuwa wameshaandaliwa sehemu pa kufanyia usaili?

Au unamaanisha kuitwa usaili na kufanya usaili n vitu viwili tofauti?
 
Duh email mbili tofauti na vp khs nida?
Mimi ninatumia PC kumuombea, sasa jana nimejaribu kwa kumsajili kwa kutumia email nyingine, kumbe kwenye simu yake anatumia email nyingine, ndio maana nawaza huo ujumbe wa Ku activate akaunti yake ya ajira portal utatumwa wapi, au nianze upya tu mchakato wa kumsajilia akaunti mpya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…