Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
Una vituko wewe yani wakose computer hahahahahaHawana computer za kutosha watu wa afya labda tuandike yaani mfano morogoro unakuda wameomba diploma yabkad Fulani elfu 5 unadhani rahisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una vituko wewe yani wakose computer hahahahahaHawana computer za kutosha watu wa afya labda tuandike yaani mfano morogoro unakuda wameomba diploma yabkad Fulani elfu 5 unadhani rahisi
Huyo ni mgeni wa interview za utumishi hahahahah kukandwa lazima akandwe😜😜😜😜😜😜😜 anafikiri kutakuwa na msamaha wengine hawatafanya usahiliMtapangwa kwa session tu na mtafungiwa kwenye ukumbi yote inawezekana na ata sasa wanafanya hivyo,ni kama unavoona oral interview mnaenda wengi na qnaitwa mmoja wengine mnafugiwa kwenye ukumbi,ata huko itafanyoka hvyo inapobidi
Ata hvyo zipo kada wanazoambiwa wafanye paper based exams kituo kimoja mfano dodoma itategemeana na maamuzi ya wakati huo endeleaa na maamdalizi kiongozi hayo mengine waachie utumishi kikubwa uwepo kwenye shortlist
Mkuu kuna vitu unaandika ht sielewi ugumu wa ww kuelewa cjui uko wapi.Nyie mnajua hamjaomba kazi halfu wajuaji sana.
Mimi nimeaplai kazj iringa.
Ila current location Dar.
Haya niambie interview nitaitwa wapi?
Hakuna cha ajira ni mpya mfumo haujaanza leo sema ugeni wa kutumia mfumo na mtafunzwa kwa kutoitwa kwenye usaili ili siku nyingine muwe makini kwa kila mnachokifanya kwa hiyo nakushauri ufanye kila jambo kwa uhakika! Adress ina maana kubwa kwenye usaili maana yake utafanya usaili pale ulipo na ata mkuwa elfu tano wote mtafanya siku hiyo! Kama umeandika dar au pwani maana kunaweza kuwa na kituo cha kanda ya pwani ambapo mfano kikawa Veta chang’ombe na wote vijana mkakandiwa pale hadi mnaisha! Mnafungiwa mnafanya kwa mafungu na uzuri simu,mabegi mnapewa baada ya kumaliza usaili!Hizi ajira ni mpya tujiandae kwa lolote.
Kama kitakuwa na interview sina uhakika hawatadeal na address nadhani tutafanya mkoa uliombea.
Tusubiri tuone
Jamaa inaonyesha anaogopa knoma interview, na kama kutakuwa na interview sidhan kama ataenda huyu lazima alale home kuendelea kusubiri kazi zisizokuwa na InterviewHuyo ni mgeni wa interview za utumishi hahahahah kukandwa lazima akandwe😜😜😜😜😜😜😜 anafikiri kutakuwa na msamaha wengine hawatafanya usahili
Ww jamaa lazima utakuwa una matatizo mahaliWaliomba kupitia Utumishi
Interview lazima wafanye ndio maana wameletwa eneo la mkando hahahaha🤣🤣🤣🤣🤣Jamaa inaonyesha anaogopa knoma interview, na kama kutakuwa na interview sidhan kama ataenda huyu lazima alale home kuendelea kusubiri kazi zisizokuwa na Interview
Nenda kwenye email atakuta ametumiwa email kwa ajili ya kuactive akaunti yakeKuna mtu nina jaribu kumuombea nafasi za afya, nimesha sajili akaunti, tatizo nikianza tu ku apply hiyo nafasi inaandika Account Inactive, je nifanye nini hapo?
Okay, Asante kiongozi.Nenda kwenye email atakuta ametumiwa email kwa ajili ya kuactive akaunti yake
Huyu jamaa inabidi atuonyeshe akaunti yake kuanzia mwanzo hadi mwisho ili kama kuna makosa tumsaidie kurekebisha kabla ya deadlineInterview lazima wafanye ndio maana wameletwa eneo la mkando hahahaha🤣🤣🤣🤣🤣
Halafu wataanzwa kukandwa kwa kupunguzwa kutokana na makosa ya kutosign barua na mambo mengine! Ukiangalia mtiririko wa humu na aina ya maswali humu utagundua sana kulikuwa kuna fanyika makosa makubwa kuwapangia vituo watu bila kufanya interview! Interview zinaongeza umakini sana
Subiri uitwe kwanza kwenye usahili then uta update anwani yako utakapokuwepo kwa muda huo ili uweze kufanya usahili sehemu uliyopo.Asante Kwa ufafanuzi ulionyooka. Swali Moja haujafafanua/kujibu ambalo ni kwamba: mfano Mimi musangaa nimeomba nafasi ya daktari bingwa mkoa wa katavi nimejaza anuani yangu mkoa wa Mtwara, je interview itanihitaji niende mkoani katavi au niabaki hapo hapo Mtwara? Kumbuka hii ni online interview kama ulivyodadafua. Kama itanihitaji nifanyie huko huko Mtwara, naweza kwenda kwenye vituo vyao pendekezwa kulingana na watakavyoelekeza, je ikitokea nipo mkoani Mara nitatakiwa kusafiri kwenda Mtwara kwenye anuani niliyojaza au mfumo utanikubalia kusailiwa hata kama nitakuwa Mara huko huko Kwa nafasi ya daktari bingwa niliyoomba mkoa wa katavi?
Umeweka kila kitu? Umefika stage ya kuomba kazi ndio inakataa? Angalia pia vigezo na masharti! Kama kila kitu kiko sawa log out halafu log in tena ujaribu tena pengine ni shida ya mtandao tuu au server!Kuna mtu nina jaribu kumuombea nafasi za afya, nimesha sajili akaunti, tatizo nikianza tu ku apply hiyo nafasi inaandika Account Inactive, je nifanye nini hapo?
Swali zuri sana mkuu.
Mkuu iko hivi usaili unafanyika mkoani kwa maana wana vituo maalumu vya kufanyia mirihani katika kila mkoa hivi vituo ni computer lab za vyuo mfano VETA,OUT, n.k utaratibu wa usimamizi ni ule ule kama ule wa paper based examination utakaguliwa vyeti na kusimamiwa na wasimamaizi zaidi ya mmoja ndani ya chumba cha mtihani
Computer ziko connected na mtandao na utakuta wamefungua mfumo wa mtihani yaani (Online aptitute test system ),kisha utaambiiwa u log in kwa kutumia password na username unayotumia kwenye akautn yako ya ajiraportal kwa hiyo hakikisha muda wote unaikumbuka username yako na password
Kisha muda ukifika mtaruhusiwa kuanza mtihani maana muda wa kuanza ni mmoja kwa nchi nzima kama ilivyo mitihani ya NECTA
Mfumo una display muda unaobaki mfano mtihani ni dk 50 kwa hiyo zitakuw zinaonekana kwa kupungua mfano,utakua unaona pale kwenye screen dk zilizobaki 49.48 ......mpka 0 ikitokea hujamaliza kujibu maswali yote na muda umeisha basi mtihnai una jisubmit automatically ila kama umemaliza unaweza kusubmit ata kabla ya muda kuisha kuna option ya kusubmit itakuja baada ya kumaliza swali la mwisho
Mtihani unafunguka wote na unaweza kuanza swali lolote kwenye mitihani kwa maana swali la kwanza au mwisho au la katikati,au vinginevyo kama ilivyo kwenye paper based exams
Unakuwa jna screw kupanda na kushuka kama unavofanya ukiwa unasoma document yenye pdf n.k pale kazi yako unacheza na mouse tu basi keybord unatumia kwenyebkulog in tu basi kazi yake inakuwa imeisha
Kujibu maswali unacheza na mouse tu maana una tick au kuselect jibu unaloona ni sahihi na linabadilika rangi kuwa kijani au blue kama sijakosea,na unaweza rudia ukabadilisha jibu kamw umejiridhisha umejaza pumba,mfumo unakubali kubadili jibu
Kama una saili zaidi ya moja mfumo unakuruhusu ufanye zote kwa siku hiyo ila utafanya wa kwanza baada ya kumaliza utasubiri mruhusiwe kuingia sesion ya pili maana muda wa kuanza ni mmoja kwa nchi nzima,kwa hiyo kama uko na interview nyingi siku hiyo unaweza kaa mpaka jioni kwa chumba cha mtihani maana hutoruhusiwa kutoka, pia mabegi na vitu vyote munavikusanya mbele kwenye meza unqbaki wewe na kompyuta yako
Kingine ukiwa kwenye mfumo wa online aptitude test hauruhusiwa kufungua tab nyingine pale kwenye browser ,ukifanya hivyo mfumo unakutema kwenye mtihani automaticaly kwa hiyo unakuwa umeaga mashindano
Kabla ya mtihani mnapewa dk 10 za kusoma maelekezo umo umo online then mtaambiwa muanze mtihani
Kawaida ni saa 1 yaani dk 60 ila wamegawa dk 10 za kusoma instruction na dk 50 za m
Asante sana mkuu Kwa ufafanuziSubiri uitwe kwanza kwenye usahili then uta update anwani yako utakapokuwepo kwa muda huo ili uweze kufanya usahili sehemu uliyopo.
Kama kwa sasa upo Ruvuma, ila baadae wakati wa kuitwa usahili ukawa upo Mara, ndipo uta update anwani ili uweze kufanya usahili ukiwa MaraView attachment 3042203
Anaonekana ni mbishi sanaHuyu jamaa inabidi atuonyeshe akaunti yake kuanzia mwanzo hadi mwisho ili kama kuna makosa tumsaidie kurekebisha kabla ya deadline
Utawala2025
Kuna kitu hapa kingine, akaunti niliyomfungulia ajira portal ina utofauti na anayotumia kwenye simu yake, yaani email mbili tofauti, je hapo kwenye huo ujumbe wa kufanya akaunti yake ya ajira portal iwe active utatumwa wapi, maana ni email mbili tofauti.Umeweka kila kitu? Umefika stage ya kuomba kazi ndio inakataa? Angalia pia vigezo na masharti! Kama kila kitu kiko sawa log out halafu log in tena ujaribu tena pengine ni shida ya mtandao tuu au server!
Duh email mbili tofauti na vp khs nida?Kuna kitu hapa kingine, akaunti niliyomfungulia ajira portal ina utofauti na anayotumia kwenye simu yake, yaani email mbili tofauti, je hapo kwenye huo ujumbe wa kufanya akaunti yake ya ajira portal iwe active utatumwa wapi, maana ni email mbili tofauti.
Bc ngoja tumuache na ubishi wakeAnaonekana ni mbishi sana
Bro, sijakuelewa.Subiri uitwe kwanza kwenye usahili then uta update anwani yako utakapokuwepo kwa muda huo ili uweze kufanya usahili sehemu uliyopo.
Kama kwa sasa upo Ruvuma, ila baadae wakati wa kuitwa usahili ukawa upo Mara, ndipo uta update anwani ili uweze kufanya usahili ukiwa MaraView attachment 3042203
Mimi ninatumia PC kumuombea, sasa jana nimejaribu kwa kumsajili kwa kutumia email nyingine, kumbe kwenye simu yake anatumia email nyingine, ndio maana nawaza huo ujumbe wa Ku activate akaunti yake ya ajira portal utatumwa wapi, au nianze upya tu mchakato wa kumsajilia akaunti mpya?Duh email mbili tofauti na vp khs nida?