Nmekushangaa sana mkuu, yn unakatishwa tamaa kizembe hvy na ww unaingia kwenye line yake.Nimerudi kumchana mwanzo niliumia nkagundua nafeli big time
Mwana anafeli sana
Apitie na hii aache kukatisha watu tamaa itamsaidia zaidiAnazingua anajikuta utumishi sana
Nimemstahi now nimeshindwa acha mfumo uamue wenyewe
Hizi application ni kama race ambayo kila mtu ana njia yake
Trust me kuna watu watakuja na shuhuda kwenye huu uzi kuwa hawakujitolea popote na still Mwenyez Mungu akawasaidia wakavuka.
Na watakuja hap watu kutoa shuhuda kuwa waliweka hzo recommendation letter na bado wakalamba jokeli.
Maisha huwa na siri nzito mnoo...
Mkuu. Jina la mwajiri kwenye barua uliandikaje ?Nimemfanyia rafiki yangu Application leo.
Tulijadili na jamaa yangu achague mikoa 5 then aombe hiyo mikoa.
Ila nilipoanza kuomba mkoa wa kwanza, nilipomaliza, zikaandika kwa pamoja kwenye nafasi zote mikoa yote kuwa ALREADY APPLIED then jina la Mwajiri likajitokeza ni MDAs and LGAs kule kwenye MY APPLICATIONS.
Kwa hiyo utakapoomba mara moja ndio imeisha hiyo, itabaki sasa utakapoitwa kwenye Interview na ukatusua, utaweza kupangiwa mkoa wowote au mkoa ulioomba wakati wa ApplicationView attachment 3036746
MDAs and LGAs (mkoa husika ingawa sidhani kama necessary).Mkuu. Jina la mwajiri kwenye barua uliandikaje ?
Sio necessary kwa kuwa unamuomba katibu mkuu wa psrsMDAs and LGAs (mkoa husika ingawa sidhani kama necessary).
Baada ya kusubmit maneno hayo ndio yalitokea, nikarudi kuedit barua halafu nikaattach tena
Ni kweli unamuomba Katibu lakini, unamuomba nafasi ipi na wapi..Sio necessary kwa kuwa unamuomba katibu mkuu wa psrs
Ila nimecheki kwenye tangazo nimeona ni kama neno LGAs tu ndio linapaswa kuwepo. Sababu muajiri ni local governments tu hivyo MDAs nafikiri halitakiwi kuwepo.MDAs and LGAs (mkoa husika ingawa sidhani kama necessary).
Baada ya kusubmit maneno hayo ndio yalitokea, nikarudi kuedit barua halafu nikaattach tena
Andika LGAs tuIla nimecheki kwenye tangazo nimeona ni kama neno LGAs tu ndio linapaswa kuwepo. Sababu muajiri ni local governments tu hivyo MDAs nafikiri halitakiwi kuwepo.
Au unashaurije niandike yote: MDAs and LGAs
Shukrani bossAndika LGAs tu
imeelewekaNi kweli unamuomba Katibu lakini, unamuomba nafasi ipi na wapi..
Ipi - Teacher grade IIIC
Wapi - MDAs and LGAs
Unamuomba nani, hapa ndio yupo mtu kati/Wakala ambaye ni PSRS(Katibu)
Hongera uko makini na TangazoIla nimecheki kwenye tangazo nimeona ni kama neno LGAs tu ndio linapaswa kuwepo. Sababu muajiri ni local governments tu hivyo MDAs nafikiri halitakiwi kuwepo.
Au unashaurije niandike yote: MDAs and LGAs
Hahahahahah.Hongera uko makini na Tangazo
Napendekeza uje wilayani kwangu buhigwe huku uje uwanoe vijana wetu huku bilashaka utakua mwalimu mzuri😀
Kiongozi msaada kidogo tafadhali...Ni kweli unamuomba Katibu lakini, unamuomba nafasi ipi na wapi..
Ipi - Teacher grade IIIC
Wapi - MDAs and LGAs
Unamuomba nani, hapa ndio yupo mtu kati/Wakala ambaye ni PSRS(Katibu)
Kuna option ya edit kwenye hicho cheti hapoKiongozi msaada kidogo tafadhali...
Kuna dogo hapa alikosea siku za nyuma aka-attach cheti ambacho hakijawa certified kwenye portal Cha chuo ......sasa Leo nataka kuattach nakuta alishaweka kile ambacho hakijawa certified .....tunatokaje hapo mkuu? Ili tuweze kuweka hiki stahiki Msaada.
Nenda kwenye iyo sehemu, alafu nenda edit, then attach icho kipya alafusave kitakuwa tayari kishabadilikaKiongozi msaada kidogo tafadhali...
Kuna dogo hapa alikosea siku za nyuma aka-attach cheti ambacho hakijawa certified kwenye portal Cha chuo ......sasa Leo nataka kuattach nakuta alishaweka kile ambacho hakijawa certified .....tunatokaje hapo mkuu? Ili tuweze kuweka hiki stahiki Msaada.
Nimejaribu hivyo kwa simu yangu ....naona bado niki-log out then nika log in....nakuta nakiona kile Cha zaman bado......au nikajaribie kwenye computer ?Nenda kwenye iyo sehemu, alafu nenda edit, then attach icho kipya alafusave kitakuwa tayari kishabadilika
Badili browser kwenye hiyo hiyo simu yako, mfano kama unatumia chrome nenda kwenye operaNimejaribu hivyo kwa simu yangu ....naona bado niki-log out then nika log in....nakuta nakiona kile Cha zaman bado......au nikajaribie kwenye computer ?
Shukran kiongozi nimefanikiwa.🙏Badili browser kwenye hiyo hiyo simu yako, mfano kama unatumia chrome nenda kwenye opera