TAMISEMI wametangaza ajira za afya leo kupitia Sekretarieti ya Ajira, sasa ni mwendo wa Interview

Mkuu GPA nazani ni factor ya mwisho sanaa tena ni endapo itatokea mmefungamana kweny usaili wa oral, otherwise sizani kuna sehem yeyote inaweza kukukosesha asali, sijui kama umenielewa ?
 
Afya almost kila siku wanatoa majina ya wanoitwa kazini, nahisi mpka sasa imebaki mikoa mi 2 tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…