Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha stress utumishi wanaweza wakakaa hata miezi 2 wakatoa mkekaWatoe jamani afya
Sio stress sababu za kuchelewa ni Nini au ndo uchakachuaji na kuwekana kinduguAcha stress utumishi wanaweza wakakaa hata miezi 2 wakatoa mkeka
Afya tulieni, mchakato wa ajira PSRS huwa una mlolongo. Majina yatatoka tu.Sio stress sababu za kuchelewa ni Nini au ndo uchakachuaji na kuwekana kindugu
Mkuu GPA nazani ni factor ya mwisho sanaa tena ni endapo itatokea mmefungamana kweny usaili wa oral, otherwise sizani kuna sehem yeyote inaweza kukukosesha asali, sijui kama umenielewa ?Naombeni kuuliza wakuu, kama mtu ana GPA ya 2.8, je anaweza pita kwenye usahili wa Oral hadi kupangiwa kituo cha kazi. Maana najiuliza kwenye ile pannel ya interview huwa wana angalia GPA ndio waseme final say. Licha ya kwamba umejibu maswali yao vizuri.?
Mtwara sijaona mbonaAfya almost kila siku wanatoa majina ya wanoitwa kazini, nahisi mpka sasa imebaki mikoa mi 2 tu.
Tayari walishatoaMtwara sijaona mbona