Doubleg Malafyale
JF-Expert Member
- Feb 17, 2017
- 2,733
- 3,561
Kwani kwenye hilo tangazo huwezi omba ata uuguzi tu haziingiliani?Hivi sisi tuliosomea masuala ya midwiferly hatujakumbukwa kozi ya kutuma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kwenye hilo tangazo huwezi omba ata uuguzi tu haziingiliani?Hivi sisi tuliosomea masuala ya midwiferly hatujakumbukwa kozi ya kutuma
beba copy na OG fika kwa Adv. atie muhuri copy...mpe chake mmalizaneSamahani Kwa wale wabobevu na huu mfumo wa ajira portal nisaidieni swali hili
Cheti cha kuzaliwa kilichokuwa verified na RITA na kina muhuri wa administrator kuwa ni true copy
Kinatakiwa kipigwe tena muhuri kucertify?? na wakili/hakimu
Natanguliza shukrani
Sijui kiongozi maana nimeona wametoa sifa za waliosoma kozi husika kutuma, midwiferly sijaionaKwani kwenye hilo tangazo huwezi omba ata uuguzi tu haziingiliani?
Vyote nimecheki Diploma ya famasi na category s
uunguzii haupo mkuu au haviendaniiiSijui kiongozi maana nimeona wametoa sifa za waliosoma kozi husika kutuma, midwiferly sijaiona
Hakuna somo linaitwa midwiferly.Nimeona nursing,Nursing and midwiferly sijaiona.
Au ni kutuma tu
Ndiyo hiyo hiyo mzee tumaaNimeona nursing,Nursing and midwiferly sijaiona.
Au ni kutuma tu
Midwifery kwa maana ya EN ama ANO?! Maana wote hao katika kozi yao Ukunga ni moja wapo ya somo.Hivi sisi tuliosomea masuala ya midwiferly hatujakumbukwa kozi ya kutuma
AsanteNdiyo hiyo hiyo mzee tumaa
Kozi iliyosomwa ni Diploma in nursing and midwiferyMidwifery kwa maana ya EN ama ANO?! Maana wote hao katika kozi yao Ukunga ni moja wapo ya somo.
AsanteNdiyo hiyo hiyo mzee tumaa
Ni uuguzi na ukunga mkuuHakuna somo linaitwa midwiferly.
Midwifery.
Pia course ya uuguzi ilishaunganishwa na ukunga muda mrefu.
Wewe ulisoma wapi midwifery pekee?
Kwa hio unataka wao wale wape?Hivi ndivyo watanzania tunavyotafutiana ulaji. Wakili/mwanasheria anaenda kupiga pesa mno. Kama huna elfu 5000/10000 katika Kila cheti, aise mtanzania mwenzangu jobless huombi hizi nafasi za kazi. Hivi hiki kipengele Cha kuwatafutia ulaji mwakili na wanasheria wetu hakiwezi kuondolewa?
Ndio ANOAsante
Kozi iliyosomwa ni Diploma in nursing and midwifery
Edit hapo mzee.Wazoefu wa ajira portal naombeni msaada. kipindi cha nyuma nilifunguaga account na kwenye academic qualifications nika upload vyeti ambavyo sio certified na wakili. Nilifanya hivyo mara mbili na vyote vinaonekana kwenye mfumo. Changamoto ni saiv ambapo nataka ku upload certified certificate lakini zimegoma. nimejaribu ku add upya lakini sijafanikiwa pia. naomba msaada mwenye kujua utatuzi wa Changamoto yangu.
Editing inagomaEdit hapo mzee.
Nenda kwa pc inakuwa imechangeEditing inagoma
Sasa umesoma uuguzi na ukunga halfu unasema ajira za ukunga haizioni unamaanisha nini au mawengeAsante
Ni uuguzi na ukunga mkuu
Kama una uhakika umeweka hvy ambavyo n certified bc tulia Baada ya muda utavikuta vipo, ht ukibadili picha hua unaona imebaki ile ile ila baada ya muda unakuta imekaa ile mpya, n system hua inachelewa.Wazoefu wa ajira portal naombeni msaada. kipindi cha nyuma nilifunguaga account na kwenye academic qualifications nika upload vyeti ambavyo sio certified na wakili. Nilifanya hivyo mara mbili na vyote vinaonekana kwenye mfumo. Changamoto ni saiv ambapo nataka ku upload certified certificate lakini zimegoma. nimejaribu ku add upya lakini sijafanikiwa pia. naomba msaada mwenye kujua utatuzi wa Changamoto yangu.