KERO TAMISEMI wiki nzima tumelipia leseni kwenye mfumo wa mtandaoni lakini hatujapa leseni mpaka sasa

KERO TAMISEMI wiki nzima tumelipia leseni kwenye mfumo wa mtandaoni lakini hatujapa leseni mpaka sasa

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

LINGWAMBA

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2023
Posts
484
Reaction score
1,214
Watumishi wa hii serikali sijui kitu gani wanaweza!

Zamani walikuwa na mfumo wa leseni manual katika manispaa, ilikuwa ukilipa mpaka muda wa leseni unaisha hujaipata! Sasa hivi online kuomba nayo unalipia unakaa wiki nzima leseni hawatoi!

Inabidi na hizi wizara nyingne nazo tutafute muwekezaji kama tulivyofanya bandarini.
 
Back
Top Bottom