KERO TAMISEMI, Wizara ya Elimu mko wapi kwa manyanyaso haya Uyui?

KERO TAMISEMI, Wizara ya Elimu mko wapi kwa manyanyaso haya Uyui?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

uyui1

Member
Joined
May 20, 2024
Posts
10
Reaction score
7
Serikali iingilie manyanyaso haya Wilaya ya Uyui.

1. Wilaya ambayo watumishi wake hawajalipwa pesa zao za likizo. Ikumbukwe likizo hiyo watumishi hizo hiyo walioomba tangu mwezi wa 12. Imekuwa ni mizunguko mwanzo mwisho na mpaka sasa pesa hawajalipwa, imefikia hatua ya matisho kutoka kwa viongozi wa wilayani kwa mba watakaoendelea kudai watafukuzwa kazi. Malalamiko yameshapelekwa kwa viongozi wa CWT lakini mpaka sasa kimya. Mwanzoni walipanga kuandamana mpaka sasa viongozi wanapanga kuwakakamata viongozi wa mgomo. Tunaomba serikali (Tamisemi na wizara ya elimu) waingilie kati vinginevyo hizi pesa zitaliwa na mchwa waliopo hapo.

2.Swala la madai ya mishahara katika wilaya hii hawawajibiki kuna siku waliita wafanyakazi kwnenda kuhakiki madao yao ilikuwa nia aibu maafisa utumishi waliokuwepo walikula fedha za watumishi waliopo.Kwani mtumishi alikuwa anadai mishaara mitatu anaambiwa mishaara miwili ilikuja na ikarudishwa hazina.Ukisema sikuipata wanakwambia hiyo uwezi kuipata kwenye mfumo inaonyesha ulilipwa.Lakini mishara hara hiyo kwenye akaunti haikuingia kwahiyo afisa utumishi aliekuepo akishirikiana nawaliokuwepo waliibia watumishi wengi.

3. Dharau zilizopitiliza watumishi wengi walioko wilaya ya uyui wanawadharau watumishi wanaowahudumia.pale unaweza kufika unashida ukaudumiwa baada ya masaaa 5 sita kazi kupiga stori za umbea na majungu.Kuna ka afisa kamoja kauhasibu kalikuwa kanawaambia watumishi waliokwenda kudai mapunjo yao ya mishaahra " anawauliza nani aliowaita nyinyi" sasa mtu katoka mpyagula huko anafika halmashauri anakatwisha tamaaa na wanaomhudumia.Serikalo iingilie kati manyanyaso shule za sekondari na msingi.

4. Serikali ilitoa maagizo Muongozo shule zinapofungwa watoto wakawasaidie wazazi kazi, Pia wajifunze stadi mbali mbali za maisha wakati wakiwa nyumbani. Lakini kwa Uyui hali ni tofauti kwani hawatofunga shule na wamepanga kufanya mitihani wakati wa likizo na waalomu wote wawepo haijalishai kama kama kuna likizo, Wakiuliza wanaambiwa ni Maagizo kutoka kwa maafisa elimu mkoa na wailaya ndo wameagiza hiyo mitihani kufanyika wakati wa likizo.Mtumishi anayefanya kazi wilaya ya Uyui ni punda anafanya kazi muda wote bila kupumzika.

Tunaomba serikali itoe muongozo kama likizo hakuna watu wajipange kwa wilaya ya Uyui pia itusaidie kupata stahiki zetu kwa wakati sambamba nahilo kufanya reshuffle kwa watendaji wabaya waliopo halimsahuri wanaigombanisha na serikali.Serikali Ihamishe wafanyakazi wa wilaya hii wanafanya kazi kwa mazoea
 
Yaani hii kada ya walimu inadharaulika sana hizi halmashauri ilipaswa zisimamiwe na mtu kama Makonda hakika wangenyooka, tatizo la nchi yetu sio mifumo bali wanaosimamia mifumo ndio tatizo.
 
Yaani hii kada ya walimu inadharaulika sana hizi halmashauri ilipaswa zisimamiwe na mtu kama Makonda hakika wangenyooka, tatizo la nchi yetu sio mifumo bali wanaosimamia mifumo ndio tatizo.
Ni kweli
 
Kama umejaza annual leave sepa ukapumzike hakuna wa kufanya chochote isipokuwa wakitaka ubaki watakulipa basic Yako bila makato.


Walimu mnawaogopa maafisa elimu wakati ni walimu wenzako?

Heshimu Sheria.
 
Yaani hii kada ya walimu inadharaulika sana hizi halmashauri ilipaswa zisimamiwe na mtu kama Makonda hakika wangenyooka, tatizo la nchi yetu sio mifumo bali wanaosimamia mifumo ndio tatizo.
Hilo eneo kuna DED/DAS/DC/RAS/RC wote hao wanashindwa kutatua changamoto ndogo kama hii? tatizo ni la watumishi wa umma mwenyewe hawajitambui hata kidogo
 
Kimsingi nyie walimu ni wajinga sn, mpo wengi lakini hamna nguvu yoyote ni kama nyumba, 10,000,000 wanamkimbia mtoto wa simba mmoja.
 
Serikali iingilie manyanyaso haya Wilaya ya Uyui.

1. Wilaya ambayo watumishi wake hawajalipwa pesa zao za likizo. Ikumbukwe likizo hiyo watumishi hizo hiyo walioomba tangu mwezi wa 12. Imekuwa ni mizunguko mwanzo mwisho na mpaka sasa pesa hawajalipwa, imefikia hatua ya matisho kutoka kwa viongozi wa wilayani kwa mba watakaoendelea kudai watafukuzwa kazi. Malalamiko yameshapelekwa kwa viongozi wa CWT lakini mpaka sasa kimya. Mwanzoni walipanga kuandamana mpaka sasa viongozi wanapanga kuwakakamata viongozi wa mgomo. Tunaomba serikali (Tamisemi na wizara ya elimu) waingilie kati vinginevyo hizi pesa zitaliwa na mchwa waliopo hapo.

2.Swala la madai ya mishahara katika wilaya hii hawawajibiki kuna siku waliita wafanyakazi kwnenda kuhakiki madao yao ilikuwa nia aibu maafisa utumishi waliokuwepo walikula fedha za watumishi waliopo.Kwani mtumishi alikuwa anadai mishaara mitatu anaambiwa mishaara miwili ilikuja na ikarudishwa hazina.Ukisema sikuipata wanakwambia hiyo uwezi kuipata kwenye mfumo inaonyesha ulilipwa.Lakini mishara hara hiyo kwenye akaunti haikuingia kwahiyo afisa utumishi aliekuepo akishirikiana nawaliokuwepo waliibia watumishi wengi.

3. Dharau zilizopitiliza watumishi wengi walioko wilaya ya uyui wanawadharau watumishi wanaowahudumia.pale unaweza kufika unashida ukaudumiwa baada ya masaaa 5 sita kazi kupiga stori za umbea na majungu.Kuna ka afisa kamoja kauhasibu kalikuwa kanawaambia watumishi waliokwenda kudai mapunjo yao ya mishaahra " anawauliza nani aliowaita nyinyi" sasa mtu katoka mpyagula huko anafika halmashauri anakatwisha tamaaa na wanaomhudumia.Serikalo iingilie kati manyanyaso shule za sekondari na msingi.

4. Serikali ilitoa maagizo Muongozo shule zinapofungwa watoto wakawasaidie wazazi kazi, Pia wajifunze stadi mbali mbali za maisha wakati wakiwa nyumbani. Lakini kwa Uyui hali ni tofauti kwani hawatofunga shule na wamepanga kufanya mitihani wakati wa likizo na waalomu wote wawepo haijalishai kama kama kuna likizo, Wakiuliza wanaambiwa ni Maagizo kutoka kwa maafisa elimu mkoa na wailaya ndo wameagiza hiyo mitihani kufanyika wakati wa likizo.Mtumishi anayefanya kazi wilaya ya Uyui ni punda anafanya kazi muda wote bila kupumzika.

Tunaomba serikali itoe muongozo kama likizo hakuna watu wajipange kwa wilaya ya Uyui pia itusaidie kupata stahiki zetu kwa wakati sambamba nahilo kufanya reshuffle kwa watendaji wabaya waliopo halimsahuri wanaigombanisha na serikali.Serikali Ihamishe wafanyakazi wa wilaya hii wanafanya kazi kwa mazoea
Waziri wa elimu tunaomba Muongozo wa kufanya kazi wakati wa likizo
 
Serikali iingilie manyanyaso haya Wilaya ya Uyui.

1. Wilaya ambayo watumishi wake hawajalipwa pesa zao za likizo. Ikumbukwe likizo hiyo watumishi hizo hiyo walioomba tangu mwezi wa 12. Imekuwa ni mizunguko mwanzo mwisho na mpaka sasa pesa hawajalipwa, imefikia hatua ya matisho kutoka kwa viongozi wa wilayani kwa mba watakaoendelea kudai watafukuzwa kazi. Malalamiko yameshapelekwa kwa viongozi wa CWT lakini mpaka sasa kimya. Mwanzoni walipanga kuandamana mpaka sasa viongozi wanapanga kuwakakamata viongozi wa mgomo. Tunaomba serikali (Tamisemi na wizara ya elimu) waingilie kati vinginevyo hizi pesa zitaliwa na mchwa waliopo hapo.

2.Swala la madai ya mishahara katika wilaya hii hawawajibiki kuna siku waliita wafanyakazi kwnenda kuhakiki madao yao ilikuwa nia aibu maafisa utumishi waliokuwepo walikula fedha za watumishi waliopo.Kwani mtumishi alikuwa anadai mishaara mitatu anaambiwa mishaara miwili ilikuja na ikarudishwa hazina.Ukisema sikuipata wanakwambia hiyo uwezi kuipata kwenye mfumo inaonyesha ulilipwa.Lakini mishara hara hiyo kwenye akaunti haikuingia kwahiyo afisa utumishi aliekuepo akishirikiana nawaliokuwepo waliibia watumishi wengi.

3. Dharau zilizopitiliza watumishi wengi walioko wilaya ya uyui wanawadharau watumishi wanaowahudumia.pale unaweza kufika unashida ukaudumiwa baada ya masaaa 5 sita kazi kupiga stori za umbea na majungu.Kuna ka afisa kamoja kauhasibu kalikuwa kanawaambia watumishi waliokwenda kudai mapunjo yao ya mishaahra " anawauliza nani aliowaita nyinyi" sasa mtu katoka mpyagula huko anafika halmashauri anakatwisha tamaaa na wanaomhudumia.Serikalo iingilie kati manyanyaso shule za sekondari na msingi.

4. Serikali ilitoa maagizo Muongozo shule zinapofungwa watoto wakawasaidie wazazi kazi, Pia wajifunze stadi mbali mbali za maisha wakati wakiwa nyumbani. Lakini kwa Uyui hali ni tofauti kwani hawatofunga shule na wamepanga kufanya mitihani wakati wa likizo na waalomu wote wawepo haijalishai kama kama kuna likizo, Wakiuliza wanaambiwa ni Maagizo kutoka kwa maafisa elimu mkoa na wailaya ndo wameagiza hiyo mitihani kufanyika wakati wa likizo.Mtumishi anayefanya kazi wilaya ya Uyui ni punda anafanya kazi muda wote bila kupumzika.

Tunaomba serikali itoe muongozo kama likizo hakuna watu wajipange kwa wilaya ya Uyui pia itusaidie kupata stahiki zetu kwa wakati sambamba nahilo kufanya reshuffle kwa watendaji wabaya waliopo halimsahuri wanaigombanisha na serikali.Serikali Ihamishe wafanyakazi wa wilaya hii wanafanya kazi kwa mazoea
Yule Afisa elim taaluma secondary anaepachika vimada wake ukuu wa shule Bado yupo!!? Na wakuu wengine wa sekondari ili wawe wanampatia mgao wa Ile posho ya madaraka mwenye kuendekeza ukabila wa kisukuma bado yupo!!?

Uyui hapo Pana matatizo sana hapo!!

Kuna Afisa utumishi Moja yeye anamnyemelea mke wa mwalimu mmoja wa sec Ili amuingize kwenye kupanda daraja!

Full sarakasi!!
 
Yule Afisa elim taaluma secondary anaepachika vimada wake ukuu wa shule Bado yupo!!? Na wakuu wengine wa sekondari ili wawe wanampatia mgao wa Ile posho ya madaraka mwenye kuendekeza ukabila wa kisukuma bado yupo!!?

Uyui hapo Pana matatizo sana hapo!!

Kuna Afisa utumishi Moja yeye anamnyemelea mke wa mwalimu mmoja wa sec Ili amuingize kwenye kupanda daraja!

Full sarakasi!!
Mr w
Yule Afisa elim taaluma secondary anaepachika vimada wake ukuu wa shule Bado yupo!!? Na wakuu wengine wa sekondari ili wawe wanampatia mgao wa Ile posho ya madaraka mwenye kuendekeza ukabila wa kisukuma bado yupo!!?

Uyui hapo Pana matatizo sana hapo!!

Kuna Afisa utumishi Moja yeye anamnyemelea mke wa mwalimu mmoja wa sec Ili amuingize kwenye kupanda daraja!

Full sarakasi!!
Jamaa bado yupo na kuna shule kama mbili nasikia kapachika vimada wake makazi na ibri
 
Back
Top Bottom