TAMISEMI: Wizi huu Ushirombo una Baraka Zenu?

TAMISEMI: Wizi huu Ushirombo una Baraka Zenu?

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Tembea uone mambo usingoje kuambiwa.

Hii nchi wengi wakipenda kusema ni ngumu, kwa kweli ni ngumu sana. Ama kwa hakika huenda hata sheria zinazotumika kunakoitwa mjini ni tofauti mno na za huko shamba.

Nimeyaona ushirombo ambako labda Waziri Bashungwa hata hajui wizara yake kuwa imeshikwa mateka vilivyo.

"Kwamba mabasi ya abiria hulazimishwa kuingia stendi za uchochoroni hata kama hayashushi au kupakia abiria hapo, hili ndilo chanzo chote cha mzizi wa fitna."

Zaidi sana sera hii lazimishi mbona ina yake mambo hapo ushirombo - kwake Mh. Dotto Biteko?

"Hapo bila shaka rasmi kazini kuibia watu, pana midume 2 yenye njaa kali ya rushwa iliyopitiliza. Hii huendesha gari - Toyota Harrier nyeupe wakiita tako la Nyani, namba za usajili DQJ XYZ.

Miwili hiyo huyavizia na kuyakimbiza mabasi yanayodaiwa kutosimama hapo ushirombo au eti kutoungia stendi.

Ajabu ni kuwa midume hiyo haina uniform wala vitambulisho, ikitumia gari binafsi!

"Kwa maneno matupu ikidai eti ni mifanyakazi ya Halmashauri ya Wilaya ya Ushirombo."

Yasemekana ni jadi yao kuwatishia wenye mabasi kwa faini za papo kwa papo za 250,000/= au rushwa za 50,000/= eti kwa kutokuingia stendi.

Kupisha usumbufu ndugu hawa yasemekana wamekuwa wanavuna mapesa kweli kweli. Itakuwa bila shaka hata yale makali ya vita kule Ukraine kwao ni hadithi tu.

Yote tisa. Dar - Kagera bus halina abiria wa kupanda au kushuka. Kulikoni kulazimishwa kuingia stendi uchochoroni?

Kulikoni nchi na tamisemi kuwepo mianya ya kugeuzwa shamba la bibi?
 
Tembea uone mambo usingoje kuambiwa.

Hii nchi wengi wakipenda kusema ni ngumu, kwa kweli ni ngumu sana. Ama kwa hakika huenda hata sheria zinazotumika kunakoitwa mjini ni tofauti mno na za huko shamba.

Nimeyaona ushirombo ambako labda Waziri Bashungwa hata hajui wizara yake kuwa imeshikwa mateka vilivyo.

"Kwamba mabasi ya abiria hulazimishwa kuingia stendi za uchochoroni hata kama hayashushi au kupakia abiria hapo, hili ndilo chanzo chote cha mzizi fitna."

Zaidi sana sera hii lazimishi mbona ina yake mambo hapo ushirombo - kwake Mh. Biteko?

"Hapo bila shaka rasmi kazini kuibia watu, pana midume 2 yenye njaa kali ya rushwa iliyopitiliza. Hii huendesha gari - Toyota Harrier nyeupe wakiita tako la Nyani, namba za usajili DQJ XYZ.

Miwili hiyo huyavizia na kuyakimbiza mabasi yanayodaiwa kutosimama hapo ushirombo au eti kutoungia stendi.

Ajabu ni kuwa midume hiyo haina uniform wala vitambulisho, zikitumia gari binafsi!

"Kwa maneno matupu ikidai eti ni mifanyakazi ya Halmashauri ya Wilaya ha Ushirombo."

Yasemekana ni jadi yao kuwatishia wenye mabasi kwa faini za papo kwa papo za 250,000/= au rushwa za 50,000/= eti kwa kutokuingia stendi.

Kupisha usumbufu ndugu hawa yasemekana wamekuwa wanavuna mapesa kweli kweli. Itakuwa bila shaka hata yale makali ya vita kule Ukraine kwao ni hadithi tu.

Yote tisa. Dar - Kagera bus halina abiria wa kupanda au kushuka. Kulikoni kulazimishwa kuingia stendi uchochoroni?

Kulikoni nchi na tamisemi kugeuzwa shamba la bibi?
Mzee hivyo ni vyanzo vya mapato vya halmashauri so wakuwalilia hapo ni madiwani wenu kukaa na kupitsha vitu vya hovyo Tamisemi unawaonea sijui kama Wana la kusema maana ni mambo mlijiamulia nyie wenyewe ili muweze kukuza mapato yenu
 
Tembea uone mambo usingoje kuambiwa.

Hii nchi wengi wakipenda kusema ni ngumu, kwa kweli ni ngumu sana. Ama kwa hakika huenda hata sheria zinazotumika kunakoitwa mjini ni tofauti mno na za huko shamba.

Nimeyaona ushirombo ambako labda Waziri Bashungwa hata hajui wizara yake kuwa imeshikwa mateka vilivyo.

"Kwamba mabasi ya abiria hulazimishwa kuingia stendi za uchochoroni hata kama hayashushi au kupakia abiria hapo, hili ndilo chanzo chote cha mzizi fitna."

Zaidi sana sera hii lazimishi mbona ina yake mambo hapo ushirombo - kwake Mh. Biteko?

"Hapo bila shaka rasmi kazini kuibia watu, pana midume 2 yenye njaa kali ya rushwa iliyopitiliza. Hii huendesha gari - Toyota Harrier nyeupe wakiita tako la Nyani, namba za usajili DQJ XYZ.

Miwili hiyo huyavizia na kuyakimbiza mabasi yanayodaiwa kutosimama hapo ushirombo au eti kutoungia stendi.

Ajabu ni kuwa midume hiyo haina uniform wala vitambulisho, zikitumia gari binafsi!

"Kwa maneno matupu ikidai eti ni mifanyakazi ya Halmashauri ya Wilaya ha Ushirombo."

Yasemekana ni jadi yao kuwatishia wenye mabasi kwa faini za papo kwa papo za 250,000/= au rushwa za 50,000/= eti kwa kutokuingia stendi.

Kupisha usumbufu ndugu hawa yasemekana wamekuwa wanavuna mapesa kweli kweli. Itakuwa bila shaka hata yale makali ya vita kule Ukraine kwao ni hadithi tu.

Yote tisa. Dar - Kagera bus halina abiria wa kupanda au kushuka. Kulikoni kulazimishwa kuingia stendi uchochoroni?

Kulikoni nchi na tamisemi kugeuzwa shamba la bibi?
utajuaje kama halina abiria wa kushuka na kupanda.maana ya stendi ni nini?hata kama huna abiria pita stendi halafu uondoke na pia kuna tozo za magari yanayoingia stendi kwa ajili ya kuboresha miundombinu ya halmashauri.mbona mizani magari ya uzito fulani uwe huna mzigo au una mzigo ni lazima upite hapo na kwa nn siyo stendi?wakati mwingine watz tunataka wenyewe kukwaliwa pesa kwa kutoheshimu sheria halafu tunalalamika.hakuna nchi inayopeleka mambo yake kiholela bila kufuata sheria.washauri wenye mabasi wapite stendi.
 
Yasemekana ni jadi yao kuwatishia wenye mabasi kwa faini za papo kwa papo za 250,000/= au rushwa za 50,000/= eti kwa kutokuingia stendi.

Kupisha usumbufu ndugu hawa yasemekana wamekuwa wanavuna mapesa kweli kweli. Itakuwa bila shaka hata yale makali ya vita kule Ukraine kwao ni hadithi tu.
Yasemekana...

Uzi huu ni questionable
 
Yasemekana...

Uzi huu ni questionable

Kama taarifa hiyo imetolewa na dereva na konda wake nina mamlaka gani ya kutoa uthibitisho kamili kwenye hilo?

Kwani madai ya rushwa na upokeaji rushwa hufanyika hadharani?

Comment yako ni ya kiwango cha chini sana mkuu.
 
utajuaje kama halina abiria wa kushuka na kupanda.maana ya stendi ni nini?hata kama huna abiria pita stendi halafu uondoke na pia kuna tozo za magari yanayoingia stendi kwa ajili ya kuboresha miundombinu ya halmashauri.mbona mizani magari ya uzito fulani uwe huna mzigo au una mzigo ni lazima upite hapo na kwa nn siyo stendi?wakati mwingine watz tunataka wenyewe kukwaliwa pesa kwa kutoheshimu sheria halafu tunalalamika.hakuna nchi inayopeleka mambo yake kiholela bila kufuata sheria.washauri wenye mabasi wapite stendi.

Dar - Kagera zipo stendi ngapi? Kama ni kukusanya mapato na kila stendi ni 5,000/- kwa bus si mpige hesabu hiyo Dar ili kuyaacha mabasi kupita juu kwa juu kama hayana cha kufanya na stendi za vichochoroni ambapo zingine ni stendi za kata na tarafa wala si wilaya?

Kama ziko stendi 100 si mlipwe tu 5,000 x 100 = 500,000/- kwa siku kwa bus ili muendelee kulamba asali?

Bus lisilo simama katika maji husika huwezi kujua kuwa halina abiria wa kupanda au kushuka hapo?

Comment za walamba asali zimekaa kimakamba Makamba au ki mwigulu mwigulu tu.

Kwani walamba asali nyie hata mnatumia usafiri wa umma hata kufahamu adha za hii kulazimisha mabasi kuingia kila stendi hata hakuna shughuli huko?

Ni nadra kwa mlamba asali kulamba mara moja. Huwa hamchelewi kuchonga mzinga.

Na huo ndiyo ulio ukweli mchungu.
 
Mzee hivyo ni vyanzo vya mapato vya halmashauri so wakuwalilia hapo ni madiwani wenu kukaa na kupitsha vitu vya hovyo Tamisemi unawaonea sijui kama Wana la kusema maana ni mambo mlijiamulia nyie wenyewe ili muweze kukuza mapato yenu

Dar - Kagera madiwani wangu ni wa stendi ipi mjomba? Mbona ziko mia kidogo hapo mkuu?
 
Tembea uone mambo usingoje kuambiwa.

Hii nchi wengi wakipenda kusema ni ngumu, kwa kweli ni ngumu sana. Ama kwa hakika huenda hata sheria zinazotumika kunakoitwa mjini ni tofauti mno na za huko shamba.

Nimeyaona ushirombo ambako labda Waziri Bashungwa hata hajui wizara yake kuwa imeshikwa mateka vilivyo.

"Kwamba mabasi ya abiria hulazimishwa kuingia stendi za uchochoroni hata kama hayashushi au kupakia abiria hapo, hili ndilo chanzo chote cha mzizi wa fitna."

Zaidi sana sera hii lazimishi mbona ina yake mambo hapo ushirombo - kwake Mh. Dotto Biteko?

"Hapo bila shaka rasmi kazini kuibia watu, pana midume 2 yenye njaa kali ya rushwa iliyopitiliza. Hii huendesha gari - Toyota Harrier nyeupe wakiita tako la Nyani, namba za usajili DQJ XYZ.

Miwili hiyo huyavizia na kuyakimbiza mabasi yanayodaiwa kutosimama hapo ushirombo au eti kutoungia stendi.

Ajabu ni kuwa midume hiyo haina uniform wala vitambulisho, ikitumia gari binafsi!

"Kwa maneno matupu ikidai eti ni mifanyakazi ya Halmashauri ya Wilaya ya Ushirombo."

Yasemekana ni jadi yao kuwatishia wenye mabasi kwa faini za papo kwa papo za 250,000/= au rushwa za 50,000/= eti kwa kutokuingia stendi.

Kupisha usumbufu ndugu hawa yasemekana wamekuwa wanavuna mapesa kweli kweli. Itakuwa bila shaka hata yale makali ya vita kule Ukraine kwao ni hadithi tu.

Yote tisa. Dar - Kagera bus halina abiria wa kupanda au kushuka. Kulikoni kulazimishwa kuingia stendi uchochoroni?

Kulikoni nchi na tamisemi kuwepo mianya ya kugeuzwa shamba la bibi?
Mkuu wewe si uko Dar? Sasa ya Ushirombo umeyaona au umeyasikia?

Ndimi Zawadini niliyeko Unguja.
 
Mkuu wewe si uko Dar? Sasa ya Ushirombo umeyaona au umeyasikia?

Ndimi Zawadini niliyeko Unguja.

Mkuu ni milima na miti tu ndiyo inabakia ilipo daima.

Zingatia bandiko limeanza na sentensi hii ya kiungwana:

'Tembea uone mambo usingoje kuambiwa."

brazaj, safarini Kagera katika ukaguzi kujua tofauti ya bei za kupambanua asali bina ya bara na Zenji.

Ama kwa hakika wakulungwa tunalimia meno. Si Dar, Moro au kigoma!
 
Mkuu ni milima na miti tu ndiyo ina ilipo daima.

Zingatia bandiko limeanza na sentensi hii ya kiungwana:

'Tembea uone mambo usingoje kuambiwa."

brazaj, safarini Kagera katika ukaguzi kujua tofauti ya bei za kupambanua asali bina ya bara na Zenji.

Ama kwa hakika wakulungwa tunalimia meno. Si Dar, Moro au kigoma!
Hakika ya Mungu nilitaka kuuliza hivi hapo Ushirombo bei ikoje? Mimi mwenyeji huko katika kijiji cha Katome 😀😀
 
Mzee kama una mtoto nyumbani anasoma sekondari mwambie akupe daftari ya civics kidato cha pili,Kisha aanze kukuelewesha mambo ya local government itakusaidia sawa mzee
Dar - Kagera madiwani wangu ni wa stendi ipi mjomba? Mbona ziko mia kidogo hapo mkuu?
 
Back
Top Bottom