Tetesi: TAMISEMI yawaomba walimu wanafunzi kujitolea bure kwenye Shule za Kata na itawatunuku vyeti watakaojitolea

Tetesi: TAMISEMI yawaomba walimu wanafunzi kujitolea bure kwenye Shule za Kata na itawatunuku vyeti watakaojitolea

Mapambano Yetu

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2012
Posts
1,130
Reaction score
2,102
Nyeti hii imepenyezwa kutoka UDOM. Wanafunzi Wanaosoma education wameambiwa wajitolee kufundisha bila malipo kwa muda wote wa likizo Hii fupi itakayoanza rasmi mwezi March. Wameahidiwa kupewa vyeti na Tamisemi endapo watatekeleza zoezi hilo.

My note:
Serikali inatambua uwepo wa uhaba wa walimu. Kwa nini sasa isiajili wakati jemedari mkuu anatamba kila kukicha kuwa hazina kuna mafungu ya kutosha?

Je, hivyo vyeti vitakuwa na impact gani kwa hao vijana?

Serikali iache ubabaishaji, mtaani kuna walimu waliohitimu mafunzo tangu mwaka 2015. Badala ya ubabaishaji wa Aina hii ni vyema ikawaajili hao Vijana.
 
Nyeti hii imepenyezwa kutoka UDOM. Wanafunzi Wanaosoma education wameambiwa wajitolee kufundisha bila malipo kwa muda wote wa likizo Hii fupi itakayoanza rasmi mwezi March. Wameahidiwa kupewa vyeti na Tamisemi endapo watatekeleza zoezi hilo.

My note:
Serikali inatambua uwepo wa uhaba wa walimu. Kwa nini sasa isiajili wakati jemedari mkuu anatamba kila kukicha kuwa hazina kuna mafungu ya kutosha?

Je, hivyo vyeti vitakuwa na impact gani kwa hao vijana?

Serikali iache ubabaishaji, mtaani kuna walimu waliohitimu mafunzo tangu mwaka 2015. Badala ya ubabaishaji wa Aina hii ni vyema ikawaajili hao Vijana.
Kwahiyo wakiondoka kurudi chuoni wanafunzi watabaki na nani?......Mimi ningeshauri serikali kama hawana pesa, waalimu wapo wengi mtaani, itangaze volunteers wakujitolea kwakuwalipa subsistance tu bila ajira ya kudumu na pia iwahidi kuwajili ikipata pesa . Mbona watajitokeza wengi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika eneo ambalo serikali yangu inaniumiza kwa kuichukulia kimzaha mzaha mbali na Sekta ya Madini, ni elimu!


Kuna siku lazima mtu akiri kwa kinywa chake kwamba tumeboronga sana katika sekta hizo mbili na kwamba anachukua harua kali za kimakusudi kuimarisha sekta tajwa.
 
Sijui Jakaya Kikwete alikuwa anatoa wapi hela za kuajiri kila Mwaka. Nakumbuka aliwahi kuajiri hadi wale walimu wakuitwa Voda fasta. Huyu wa Sasa ameacha kitaani batch za walimu kuanzia graduate wa 2014/2015 hadi wa sasa.

Tunakoenda ni giza kwa kweli.
 
Sijui Jakaya Kikwete alikuwa anatoa wapi hela za kuajiri kila Mwaka. Nakumbuka aliwahi kuajiri hadi wale walimu wakuitwa Voda fasta. Huyu wa Sasa ameacha kitaani batch za walimu kuanzia graduate wa 2014/2015 hadi wa sasa.

Tunakoenda ni giza kwa kweli.
Enzi hizo hadi wenye sup walikuwa wanaajiriwa, kwakweli ilikuwa raha sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hao wanafunzi wa ualimu, kama unategemea ajira serikalini nenda kajitolee.
Bila shaka huu ni mkakati wa kuwagawa baadaye kwenye nafasi za ajira.
Sasa wameshakuwa wengi na wote wanavigezo. Vigezo vya ziada vinatengenezwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuliambiwa walimu wapo wa kutosha na ziada ipo kabisa.
 
Nyeti hii imepenyezwa kutoka UDOM. Wanafunzi Wanaosoma education wameambiwa wajitolee kufundisha bila malipo kwa muda wote wa likizo Hii fupi itakayoanza rasmi mwezi March. Wameahidiwa kupewa vyeti na Tamisemi endapo watatekeleza zoezi hilo.

My note:
Serikali inatambua uwepo wa uhaba wa walimu. Kwa nini sasa isiajili wakati jemedari mkuu anatamba kila kukicha kuwa hazina kuna mafungu ya kutosha?

Je, hivyo vyeti vitakuwa na impact gani kwa hao vijana?

Serikali iache ubabaishaji, mtaani kuna walimu waliohitimu mafunzo tangu mwaka 2015. Badala ya ubabaishaji wa Aina hii ni vyema ikawaajili hao Vijana.
Walimu wengi wameacha chaki na kujipachika vitengo kama uhasibu, uanasheria wa Halmashauri, Maafisa utumishi nk. Aliyeasisi na kubariki mtindo huo anajua anafaidika nini kuajiri walimu lakini baada ya muda mfupi kuwabadilishia fani huku wakiendelea kutumia utambulisho wa Ualimu!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom