Tetesi: TAMISEMI yawaomba walimu wanafunzi kujitolea bure kwenye Shule za Kata na itawatunuku vyeti watakaojitolea

Tetesi: TAMISEMI yawaomba walimu wanafunzi kujitolea bure kwenye Shule za Kata na itawatunuku vyeti watakaojitolea

Sijui Jakaya Kikwete alikuwa anatoa wapi hela za kuajiri kila Mwaka. Nakumbuka aliwahi kuajiri hadi wale walimu wakuitwa Voda fasta. Huyu wa Sasa ameacha kitaani batch za walimu kuanzia graduate wa 2014/2015 hadi wa sasa.

Tunakoenda ni giza kwa kweli.
Hivi ndugu unaamini woote waliovyuoni kwasasa na waliomaliza Serikali inaweza kuwaajiri? Dkt. Kikwete aliweza kufanya hivyo wakati ule kwakuwa nafasi zilikuwa bado zipo na uwezo wa kuwalipa ulikuwepo. Kwasasa wanalipwa walioajiriwa na Kikwete na bado Serikali inaajiri ila sio kwa kiwango kikubwa.
 
Wakati ule ilikuwa fani za Ualimu na Afya ni uhakika kupata ajira. Lakini awamu hii ya tano hawajali kuhusu ajira, kwa kuwa sio watoto zao wanaotaabika.

Kwa kweli "we real miss Jakaya Kikwete"
Acha upotoshaji. Awamu hii imeajiri watumishi wa afya kwa kiasi kikubwa sana. Kuanzia madaktari hadi manesi. Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.
 
Nyeti hii imepenyezwa kutoka UDOM. Wanafunzi Wanaosoma education wameambiwa wajitolee kufundisha bila malipo kwa muda wote wa likizo Hii fupi itakayoanza rasmi mwezi March. Wameahidiwa kupewa vyeti na Tamisemi endapo watatekeleza zoezi hilo.

My note:
Serikali inatambua uwepo wa uhaba wa walimu. Kwa nini sasa isiajili wakati jemedari mkuu anatamba kila kukicha kuwa hazina kuna mafungu ya kutosha?

Je, hivyo vyeti vitakuwa na impact gani kwa hao vijana?

Serikali iache ubabaishaji, mtaani kuna walimu waliohitimu mafunzo tangu mwaka 2015. Badala ya ubabaishaji wa Aina hii ni vyema ikawaajili hao Vijana.
Nahisi harufu ya ongezeko la mimba mashuleni. Watu watajilipa wenyewe. Yangu macho tu.
 
Katika eneo ambalo serikali yangu inaniumiza kwa kuichukulia kimzaha mzaha mbali na Sekta ya Madini, ni elimu!


Kuna siku lazima mtu akiri kwa kinywa chake kwamba tumeboronga sana katika sekta hizo mbili na kwamba anachukua harua kali za kimakusudi ikuimarisha sekta tajwa.

Kwa wabunge wa CCM kila kitu safiii. Wakiwa bungeni adui yao ni CHADEMA tu hata kama nchi inaangamia kwa upuuzi wa kupitisha kwa 100 percent Sera hovyoo za chama chao.
 
Nyeti hii imepenyezwa kutoka UDOM. Wanafunzi Wanaosoma education wameambiwa wajitolee kufundisha bila malipo kwa muda wote wa likizo Hii fupi itakayoanza rasmi mwezi March. Wameahidiwa kupewa vyeti na Tamisemi endapo watatekeleza zoezi hilo.

My note:
Serikali inatambua uwepo wa uhaba wa walimu. Kwa nini sasa isiajili wakati jemedari mkuu anatamba kila kukicha kuwa hazina kuna mafungu ya kutosha?

Je, hivyo vyeti vitakuwa na impact gani kwa hao vijana?

Serikali iache ubabaishaji, mtaani kuna walimu waliohitimu mafunzo tangu mwaka 2015. Badala ya ubabaishaji wa Aina hii ni vyema ikawaajili hao Vijana.
Kila kitu huwa ni bajeti mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa wabunge wa CCM kila kitu safiii. Wakiwa bungeni adui yao ni CHADEMA tu hata kama nchi inaangamia kwa upuuzi wa kupitisha kwa 100 percent Sera hovyoo za chama chao.
Mambo mengine tunawasingizia tu hawa wawakilishi wetu!


Kama wao wameshindwa, je mimi, wewe, wale, yule na wao tumachukua hatua gani kahakikisha hatuifikishi nchi kule kubaya kunakoelekea!?

Wenzetu unga wa mahindi ukipanda hata kwa senti moja wanaonesha hasira zao za kutokukubaliana na jambo hilo, sisi kwetu ni kulaani tu na kumuachia eti Mungu!

Ngoja tuipandike!...hakuna wa kukuletea maendeleo ni wewe mwenyewe!
 
Walimu wengi wameacha chaki na kujipachika vitengo kama uhasibu, uanasheria wa Halmashauri, Maafisa utumishi nk. Aliyeasisi na kubariki mtindo huo anajua anafaidika nini kuajiri walimu lakini baada ya muda mfupi kuwabadilishia fani huku wakiendelea kutumia utambulisho wa Ualimu!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu anaweza akawa mhasibu though hakusomea uhasibu? Au una maanisha kuna ukosefu wa wafanyakaz halmashauri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi ndugu unaamini woote waliovyuoni kwasasa na waliomaliza Serikali inaweza kuwaajiri? Dkt. Kikwete aliweza kufanya hivyo wakati ule kwakuwa nafasi zilikuwa bado zipo na uwezo wa kuwalipa ulikuwepo. Kwasasa wanalipwa walioajiriwa na Kikwete na bado Serikali inaajiri ila sio kwa kiwango kikubwa.
Unakubali uwezo wa kuwalipa hakuna..
Na je unaamin kuna upungufu wa watumishi maofisini???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi ndugu unaamini woote waliovyuoni kwasasa na waliomaliza Serikali inaweza kuwaajiri? Dkt. Kikwete aliweza kufanya hivyo wakati ule kwakuwa nafasi zilikuwa bado zipo na uwezo wa kuwalipa ulikuwepo. Kwasasa wanalipwa walioajiriwa na Kikwete na bado Serikali inaajiri ila sio kwa kiwango kikubwa.
Kumbuka kuwa hapo kuna vyeti feki waliondolewa pia, mbona mwenzake aliweza kuajiri kila mwaka
 
Nyeti hii imepenyezwa kutoka UDOM. Wanafunzi Wanaosoma education wameambiwa wajitolee kufundisha bila malipo kwa muda wote wa likizo Hii fupi itakayoanza rasmi mwezi March. Wameahidiwa kupewa vyeti na Tamisemi endapo watatekeleza zoezi hilo.

My note:
Serikali inatambua uwepo wa uhaba wa walimu. Kwa nini sasa isiajili wakati jemedari mkuu anatamba kila kukicha kuwa hazina kuna mafungu ya kutosha?

Je, hivyo vyeti vitakuwa na impact gani kwa hao vijana?

Serikali iache ubabaishaji, mtaani kuna walimu waliohitimu mafunzo tangu mwaka 2015. Badala ya ubabaishaji wa Aina hii ni vyema ikawaajili hao Vijana.
Mwenye pesa huwa hajitangazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Elimu BURE au Elimu HEWA? be the judge.

Nyeti hii imepenyezwa kutoka UDOM. Wanafunzi Wanaosoma education wameambiwa wajitolee kufundisha bila malipo kwa muda wote wa likizo Hii fupi itakayoanza rasmi mwezi March. Wameahidiwa kupewa vyeti na Tamisemi endapo watatekeleza zoezi hilo.

My note:
Serikali inatambua uwepo wa uhaba wa walimu. Kwa nini sasa isiajili wakati jemedari mkuu anatamba kila kukicha kuwa hazina kuna mafungu ya kutosha?

Je, hivyo vyeti vitakuwa na impact gani kwa hao vijana?

Serikali iache ubabaishaji, mtaani kuna walimu waliohitimu mafunzo tangu mwaka 2015. Badala ya ubabaishaji wa Aina hii ni vyema ikawaajili hao Vijana.
 
Acha upotoshaji. Awamu hii imeajiri watumishi wa afya kwa kiasi kikubwa sana. Kuanzia madaktari hadi manesi. Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.
Uliona ile interview ya nafasi za afya jeshini pale Lugalo watu walivyojaa??
Wewe mwenzetu unatumia kipimo gani kuona hakuna ajira mtaani??
Ngoja suala la kukosa ajira limkute ndugu yako ndiyo utajua kama ukosefu wa ajira upo au laa?
 
Back
Top Bottom