Hiyo ni namba ya wapi tena?...yaonyesha MAKAMPUNI ya simu taratibu nayo yanaDANGANYIKA SASA!Kutokana SISIMU kuchafua na kuhatarisha amani kwa kutuma msg za vitisho kwa baadhi ya numba za simu.Naomba wote wasizingatie hizo Msg na waendelee kumchagua kwa kishindo Dr Slaa.Sisimu imeona inashindwa na kutishia wananchi kwa msg.Number +3588108226 imetumika.Kura zote ziende kwa Dr Slaa.Sisimu ikishinda maisha yatakua magumu sana
Kutokana SISIMU kuchafua na kuhatarisha amani kwa kutuma msg za vitisho kwa baadhi ya numba za simu.Naomba wote wasizingatie hizo Msg na waendelee kumchagua kwa kishindo Dr Slaa.Sisimu imeona inashindwa na kutishia wananchi kwa msg.Number +3588108226 imetumika.Kura zote ziende kwa Dr Slaa.Sisimu ikishinda maisha yatakua magumu sana
Yaani Slaa katungiwa jambo jipya tena!!!...watatunga sana, lakini tushaamua, hatuelewi lingine!Ujumbe unasema hivi. Slaa ni mropokaji na mgomvi anatukanah vyombo vya ulinzi na usalama.Anataka damu imwagike ili mradi aingie Ikulu.Tumkatae kugeuza nchi yetu kua somalia.
Pamoja na kwmba imetoka +3588108226 ila utagundua kabisa imetumwa na chama gani na lengo lake ni nini
Hivi ni msg ngapi ambazo nanyi mmekuwa mnazituma tena zikiwa na taswira za kibaguzi???
Mnapochagua strategy kumbukeni kuwa wenzenu have more determination and resources za kufanya campaign za aina hizo tena zikawafikia mamilioni ya watanzania na sio persona sms ambazo ndizo mnaweza kuafford.
Wakati nashutumu siasa za kibaguzi na vitisho zinazoendana na msg hizi kiasi kwmba sijawahi kuforward hata moja kati ya makumi nilizozipata na katika nyingene mnazoanzisha kila kukicha katika mitandao kama huu wa jamiiforum, naamini kuwa katika haya hakuna victim.....u r all perpetrators.
Stop agonizing, Be the change u claim you want to see.....
Hiyo ni namba ya wapi tena?...yaonyesha MAKAMPUNI ya simu taratibu nayo yanaDANGANYIKA SASA!
Na ujumbe wa vitisho unasemaje?
Tuma huo ujumbe ili kuongeza mashiko ya bandiko!
Yaani Slaa katungiwa jambo jipya tena!!!...watatunga sana, lakini tushaamua, hatuelewi lingine!
Mi yaani hat a wanikate mikono ntapiga kura kwa miguu..siambiwi kit mwaka huu
Hivi ni msg ngapi ambazo nanyi mmekuwa mnazituma tena zikiwa na taswira za kibaguzi???
Mnapochagua strategy kumbukeni kuwa wenzenu have more determination and resources za kufanya campaign za aina hizo tena zikawafikia mamilioni ya watanzania na sio persona sms ambazo ndizo mnaweza kuafford.
Wakati nashutumu siasa za kibaguzi na vitisho zinazoendana na msg hizi kiasi kwmba sijawahi kuforward hata moja kati ya makumi nilizozipata na katika nyingene mnazoanzisha kila kukicha katika mitandao kama huu wa jamiiforum, naamini kuwa katika haya hakuna victim.....u r all perpetrators.
Stop agonizing, Be the change u claim you want to see.....
Hivi ni msg ngapi ambazo nanyi mmekuwa mnazituma tena zikiwa na taswira za kibaguzi???
Mnapochagua strategy kumbukeni kuwa wenzenu have more determination and resources za kufanya campaign za aina hizo tena zikawafikia mamilioni ya watanzania na sio persona sms ambazo ndizo mnaweza kuafford.
Wakati nashutumu siasa za kibaguzi na vitisho zinazoendana na msg hizi kiasi kwmba sijawahi kuforward hata moja kati ya makumi nilizozipata na katika nyingene mnazoanzisha kila kukicha katika mitandao kama huu wa jamiiforum, naamini kuwa katika haya hakuna victim.....u r all perpetrators.
Stop agonizing, Be the change u claim you want to see.....
Mi yaani hat a wanikate mikono ntapiga kura kwa miguu..siambiwi kit mwaka huu