Kutokana SISIMU kuchafua na kuhatarisha amani kwa kutuma msg za vitisho kwa baadhi ya numba za simu.Naomba wote wasizingatie hizo Msg na waendelee kumchagua kwa kishindo Dr Slaa.Sisimu imeona inashindwa na kutishia wananchi kwa msg.Number +3588108226 imetumika.Kura zote ziende kwa Dr Slaa.Sisimu ikishinda maisha yatakua magumu sana