Sasa haya mambo gani up to now no any good news? Asaa kwani si bora asingesema tu,,michongo gani sasa hii ya kiboyaaaaa huuu ni uhuni sasa eee lazima niseme uhuni bwana.Tena akatoa na tangazo kubwa kwenye tovuti ya Tamisemi,,,,mkubwa daaah sikutegemeaaa siasa hadi kwenye maisha ya watu zaidi ya elfu 40 haswaa huu ni ufedhuli mkubwaa eee ufedhuli!!! Hata ukisema siku haijaishaaaa but hivi unaijuaa tension ya kusubiri matokeo wewe? haswa kwenye jambo lenye utata kama hili? hatujui kama jina litakuwemo amaaa laaah kwani mlishaanza FIGISUFIGISU oooh arts mmejaa sawa sisi tumejaa haya mtoee basi tujuee tunahusika au hatuhusiki aaaaagh.
Watu since jana hatujalala kwa KIMUHEMUHE CHA AJIRA but ndompaka sasa peuuupeeeeee daaah kiukweli hii nchi bora ingekua kama urusi tu full kijeshi aaaaaaah filderi castro njoo bongo uwafunze viongozi wetu kuwa acuracy