medsebapol
JF-Expert Member
- Jul 16, 2015
- 327
- 225
Zinedine Zidane hatimaye amezungumzia kwanini alimpiga Materazzi kichwa katika fainali ya kombe la dunia 2006. "Aliniita fala,nikampuuzia. Akamwita baba yangu gaidi,nikampuuzia. Sasa hasira zikanipanda pale aliposema ninafaa kuichezea ARSENAL. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]