Ukisoma vizuri ujumbe wake utagundua kautoa yeye kama yeyeBalozi ndiyo anaiwakilisha nchi, tamko lake ni msimamo wa serikali yake.
Amekula kiapo hivyo hawezi kwenda kinyume na serikali yake.
Hata kunywa mchuzi sio haram?Nguruwe sio haram, kumla nguruwe ndio haram.
Asante sana beberu letu.View attachment 2138531
Jiwe limerushwa gizani. Wanasiasa na hasa wa ccm Wana la kujifunza.
#Stronger_Together
Toa z weka m.
Hapo ndo madikteta hupata ukakasi....tutengeneze kesho yenye amani, ustawi na uhuru kwa watu wote
We ni mmojawapo wa lile genge la jpm la wasiojulikana, watekaji?..Sasa tutamfuatilia nyenendo zake hadi chooni.
Tupatie hiyo screen shot yake tujiridhishe bwasheeBalozi ni mnafiki, walikuwa wakikosoa sana utawala wa JPM na kutoa matamk kila kukicha. Ila Mbowe alipokamatwa na kupewa kesi ya ugaidi, na wao wenyewe wakiwa wanajua hakuwa na hatia, alitweet na kinafiki na kusema mahakama iachiwe ifanye kazi
Ulishindwa kumshauri sabaya mbowe utamuweza Kenge wewe?Pamoja na kufutiwa mashitaka naamini Mbowe na Genge lake la kihalifu watakuwa wameshika adbu.
na wamejifunza kuwa ukichezea Amani ya nchi utashughulikiwa kama mbwa koko.
Ushauri wa bure sasa ni bora akalee wajukuu. Aache tabia ya kuajiri wahalifu, wauza madawa, wavuta bangi, majambazi n.k
Sasa tutamfuatilia nyenendo zake hadi chooni.
Hakuna kitu cha aina hiyo, weka facts.
Basi kama ni marekani wamesema angaweka waraka wao na mhuri au hata nemba (kama unavyoona waraka wa nchi nyingine)sio aandike huko twiter mnasema eti marekani imesema.Hakuna kitu cha aina hiyo, weka facts.
Vinginevyo ange-clarify kwamba anachosema siyo msimamo wa serikali ya Marekani bali ni mtazamo wake binafsi. Yule ni muwakilishi wa nchi, hawezi ku-Tweet jambo lenye effects kisiasa ambalo liko kinyume na msimamo wa serikali anayoiwakilisha. Nadhani huwa unaona serikali ambavyo huwa zinapata hekaheka za kukanusha kauli za mabalozi, kujitetea na kuwarudisha 'nyumbani' pindi wanapoenda kunyume na mitazamo za serikali zao.
My point, hawezi ku tweet kitu ambacho hakiakisi msimamo wa nchi yake. Hakuna nilipoandika kuwa hiyo ni statement official ya ubalozi.Basi kama ni marekani wamesema angaweka waraka wao na mhuri au hata nemba (kama unavyoona waraka wa nchi nyingine)sio aandike huko twiter mnasema eti marekani imesema.
Msifanya twit yaks iwe kuuubwaaa wakati ni mtu kaandika maoni yake kwenye avount yake binafsi tdna ya mtandao wa kijamii
Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi gaidi hachomoki?Hata mbowe ataacha ujanja ujanja ambao anadhani bado ni mtoto
Nadhani sasa atafuata sheria bila shurti
Ulisikia wapi gaidi kasamehewa?Pamoja na kufutiwa mashitaka naamini Mbowe na Genge lake la kihalifu watakuwa wameshika adbu.
na wamejifunza kuwa ukichezea Amani ya nchi utashughulikiwa kama mbwa koko.
Ushauri wa bure sasa ni bora akalee wajukuu. Aache tabia ya kuajiri wahalifu, wauza madawa, wavuta bangi, majambazi n.k
Sasa tutamfuatilia nyenendo zake hadi chooni.
Kwa hiyo hapo unafiki uko wapi?Balozi ni mnafiki, walikuwa wakikosoa sana utawala wa JPM na kutoa matamk kila kukicha. Ila Mbowe alipokamatwa na kupewa kesi ya ugaidi, na wao wenyewe wakiwa wanajua hakuwa na hatia, alitweet na kinafiki na kusema mahakama iachiwe ifanye kazi
Marekani isipoturudisha kwenye MCC,tutamrudisha Mbowe ndaniMaamuzi ya kufutwa kwa kesi dhidi ya Freeman Mbowe ni nafasi nzuri kwa Tanzania kubadili ukurasa na kutazama maisha yajayo. Sasa tufanye kazi kwa pamoja tukiwa na matarajio ya kufanya mambo makubwa katika fursa zilizopo, tutengeneze kesho yenye amani, ustawi na uhuru kwa watu wote
Kwani warusi wenyewe wamesemaje?Mungu wabariki warusi wasio wanafki
Alivunja heria ipi? lini? wapi?Hata mbowe ataacha ujanja ujanja ambao anadhani bado ni mtoto
Nadhani sasa atafuata sheria bila shurti