Tamko la Marekani kuhusu hali ya kisiasa, uminywaji wa sheria Tanzania

Wewe ni mbwa tu huna lolote unalojua mamangu ndiye anachati na wewe?Acha ukalumakenge.
Basi nitakutukana nijuavyo. Nimesema several times, kama huwezi kujibu post zangu bila matusi kejeli, just ignore. I will not spare you ukinitukana. Sitajali nani, mradi umeumia. Jiepushe na majibu ya kejeli na matusi kama uliyotoa next time. Just ignore if you feel you can not make it without abusive language. Umenitukana nitakutukana
 
Hivi hao Marekani wanayofanya huko kwao wameyasahau ?
 
Marekani wanaona uminyaji wa haki za binadamu Tanzania tu, ila kwao hawawaoni weusi eeh?? Jana tu jamaa black mlinzi kauwawa baada ya kuokoa watu.
 
Nimecheka sana hii comment yako. Mkuu unataka marekani achukue hatua gani?
Vikwazo kama travel ban kwa maafisa wa serikali etc , misaada ambayo haina athali kwa watanzania wanyonge na vitu kama hivyo. Lile kama la Afghanistan la Osama bin Laden bado hatujagusa P>>>U>>>M..,B..,,U za Trump! Tukizigusa anadondosha na Saratoga!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…