Tamko la munduli kwa Wapinzani

Tamko la munduli kwa Wapinzani

njiwa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2009
Posts
13,144
Reaction score
6,942
dah.jpg
 
Hao wanashinikizwa na Lowasa tu maana walikwisha sema za ubunge wanaweza kumpa huyo Lowasa ila za urais Kikwete asahau
 
Kama Unajitoshereza, chumvi unayoomba kwa jirani ni ya nini?
Kama mtaji wa kura upo wa kutosha Monduli Mabango, Kununua shahada, migao (T-shirt, kofia, pesa n.k) ni vya nini?
 
Waache waendelee na sisiemu yao ila waelewe kuwa watatyaba hadi Yesu arudi!
 
Hawajui kusoma may be walitaka kuandika kushindwa kwa CCM ni 99.9% Kazi kwelikweli
 
Back
Top Bottom