Tamko la Tanganyika Law Society(TLS), Juu ya Wimbi la Pili la Mlipuko wa Ugonjwa wa Korona nchini

Status
Not open for further replies.
Kwa serikali inayoongozwa na mchungaji wa kanisa la Chatto msitarajie mabadiliko. Wasukuma wengi are so arrogant
 
Wapelekee Copy Wizara ya Afya.... It seems hawana taarifa...
 
Kwa serikali inayoongozwa na mchungaji wa kanisa la Chatto msitarajie mabadiliko. Wasukuma wengi are so arrogant
No. Dare not generalize. It is an individual character; let it be a hutu, nyambo, zaramo, or chaga.
 
"Kwa magonjwa mbalimbali ikiwemo na Corona" Kwanini mnataka muambiwe kuhusu Korona tu lakini magonjwa mengine hamtaki kuyasikia? Katika ao 22 si wote walikufa kwa corona lakini umeshindwa kutaja na magonjwa mengine ambayo yaliwaua ao wengine kwanini?
 
Watu wanateteta maisha yako unaleta u..s...ng
Utaumia ndugu,take easy, soma tamko la Mwigulu ndipo utajua kwann niliandika hivyo.Hataivyo uwezo wako wa kuelewa mdogo sana.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…