Uchaguzi 2020 Tamko la Ubalozi wa Marekani kuhusu Uchaguzi Mkuu ujao Nchini Tanzania - Oktoba, 2020

..kwa jinsi mambo yalivyokorogwa mpaka sasa hivi bado una matumaini kuwa uchaguzi utakuwa huru na wa haki?
Kawaida kwa binadamu kutoridhika, haya mambo ya uchaguzi wa huru na haki yashaanza kubiliwa kitamboo toka enzi za kura ya ndio na hapana enzi za kina baba wa taifa! Hata marekani kwenyewe kelele haziishi tika enzi za kina bushi kula zisharudiwa kina Obama na Trump watu wanahoji sijui majority vote! Huwezi kumkamilisha kila binadamu akaridhika, tusubiri siku ya kiama nabii Isaa akirudi yeye atahukumu kwa haki! Magu 5 tena
 
Hatuwezi vunja haki za watu kwa kigezo Cha nchi huru,ujui wao ndio uingia gharama za kuhudumia wakimbizi Kama pakichafuka so wanayo haki ya kuonya ili tusiwape gharama za kuhudumia wakimbizi pale haki inapokosekana
 
Huru bila Uhuru kivipi?

Dunia ni moja na binadamu wote ni sawa. Ni wapumbavu tu wanaweza kukaa kimya kuwaangalia binadamu wenzao wakiwa wanateswa na Watawala walioshiba na kulewa kwa utajiri uliotokana na ofisi za umma ....
Umeandika vema sana. Mungu akubariki sana. Waovu wakitawala nchi huugua. Tanzania imeugua sana. Sasa basi. Tunataka Uhuru, Haki na Maendeleo ya Watu.
 
Kwahiyo wewe hutaki kusikia wala kuona kitu kinaitwa uchaguzi wa haki? Basi usililie amani! Ujue kuwa Haki na Amani are inseparable!
 
Hawa watu wanaitwa International Community achana nao kabisa,wakikutenga na habari yako imekwisha kwenye ulimwengu huu.
 
Hivi unapokuwa na jirani, akakuona jirani yake unampiga mwanao, hadi kusababisha kifo chake, je jirani yako huyo akitaka kuingilia utamwambia mambo hayo hayamuhusu?

Hivi ndivyo TZ ya Leo ilivyo, kwa utawala huu wa serikali ya nchi hii hivi sasa, wananchi wake kupotezwa na "watu wasiojulikana" wakati huo huo Jeshi la Polisi nchini, likiangalia tu bila kuchukua hatua yoyote!

Je jirani kama Marekani akiingilia, utamwambia jirani huyo kuwa hana haki ya kuingilia mambo yako??
 
Mpaka dakika hii maji yashamwajika Tanzania and it’s a guarantee targeted sanction zinakuja-Lissu anakwenda kuibadilisha siasa ya Tanzania for good,And after few years naona Tume ya uchaguzi kupitia katiba mpya itakuwa reformed na demokrasia ndani ya nchi itaanza kutawala.Haya ndiyo maono yangu
 
Ila man Mamlaka ya KUOMBA MISAADA KWAO? ARVS?🤣🤣🤣🤣" ukikikubali kula lazima nakubali kuliwa" JAKAYA KIKWETE
 

..mbona ccm hawalalamiki hata siku moja?

..tangu mfumo wa vyama vingi uanze mwaka 1992 umewahi kusikia mgombea wa ccm ameenguliwa?
 
KWANI MAREKANI NANI?
 
Ub Ubalozi wa Marekani ndiyo takataka gani tena?
 
acha uzwazwa wa lumumba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…