Shambaboy jogoli
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 1,223
- 1,627
Kawaida kwa binadamu kutoridhika, haya mambo ya uchaguzi wa huru na haki yashaanza kubiliwa kitamboo toka enzi za kura ya ndio na hapana enzi za kina baba wa taifa! Hata marekani kwenyewe kelele haziishi tika enzi za kina bushi kula zisharudiwa kina Obama na Trump watu wanahoji sijui majority vote! Huwezi kumkamilisha kila binadamu akaridhika, tusubiri siku ya kiama nabii Isaa akirudi yeye atahukumu kwa haki! Magu 5 tena..kwa jinsi mambo yalivyokorogwa mpaka sasa hivi bado una matumaini kuwa uchaguzi utakuwa huru na wa haki?
Hatuwezi vunja haki za watu kwa kigezo Cha nchi huru,ujui wao ndio uingia gharama za kuhudumia wakimbizi Kama pakichafuka so wanayo haki ya kuonya ili tusiwape gharama za kuhudumia wakimbizi pale haki inapokosekanaTanzania ni nchi huru. Tuna haki na wajibu wa kujiamulia mambo yetu wenyeme. Balozi wa Marekani ametoa angalizo kuhusu huu. Uchaguzi na kwamba atafurahi kama ukiendeshwa kwa haki. Lakini hii ni nchi huru. Yakitokea matatizo sana sana Balozi wa Marekani anaweza tu kusema," Hawa watu watano,hawa watu kumi,sitaki waende. Marekani kutembea."
Umeandika vema sana. Mungu akubariki sana. Waovu wakitawala nchi huugua. Tanzania imeugua sana. Sasa basi. Tunataka Uhuru, Haki na Maendeleo ya Watu.Huru bila Uhuru kivipi?
Dunia ni moja na binadamu wote ni sawa. Ni wapumbavu tu wanaweza kukaa kimya kuwaangalia binadamu wenzao wakiwa wanateswa na Watawala walioshiba na kulewa kwa utajiri uliotokana na ofisi za umma ....
Kwahiyo wewe hutaki kusikia wala kuona kitu kinaitwa uchaguzi wa haki? Basi usililie amani! Ujue kuwa Haki na Amani are inseparable!Tanzania ni nchi huru. Tuna haki na wajibu wa kujiamulia mambo yetu wenyeme. Balozi wa Marekani ametoa angalizo kuhusu huu. Uchaguzi na kwamba atafurahi kama ukiendeshwa kwa haki. Lakini hii ni nchi huru. Yakitokea matatizo sana sana Balozi wa Marekani anaweza tu kusema," Hawa watu watano,hawa watu kumi,sitaki waende. Marekani kutembea."
Hivi unapokuwa na jirani, akakuona jirani yake unampiga mwanao, hadi kusababisha kifo chake, je jirani yako huyo akitaka kuingilia utamwambia mambo hayo hayamuhusu?Tanzania ni nchi huru. Tuna haki na wajibu wa kujiamulia mambo yetu wenyeme. Balozi wa Marekani ametoa angalizo kuhusu huu. Uchaguzi na kwamba atafurahi kama ukiendeshwa kwa haki. Lakini hii ni nchi huru. Yakitokea matatizo sana sana Balozi wa Marekani anaweza tu kusema," Hawa watu watano,hawa watu kumi,sitaki waende. Marekani kutembea."
Ila man Mamlaka ya KUOMBA MISAADA KWAO? ARVS?🤣🤣🤣🤣" ukikikubali kula lazima nakubali kuliwa" JAKAYA KIKWETETanzania ni nchi huru. Tuna haki na wajibu wa kujiamulia mambo yetu wenyeme. Balozi wa Marekani ametoa angalizo kuhusu huu. Uchaguzi na kwamba atafurahi kama ukiendeshwa kwa haki. Lakini hii ni nchi huru. Yakitokea matatizo sana sana Balozi wa Marekani anaweza tu kusema," Hawa watu watano,hawa watu kumi,sitaki waende. Marekani kutembea."
Kawaida kwa binadamu kutoridhika, haya mambo ya uchaguzi wa huru na haki yashaanza kubiliwa kitamboo toka enzi za kura ya ndio na hapana enzi za kina baba wa taifa! Hata marekani kwenyewe kelele haziishi tika enzi za kina bushi kula zisharudiwa kina Obama na Trump watu wanahoji sijui majority vote! Huwezi kumkamilisha kila binadamu akaridhika, tusubiri siku ya kiama nabii Isaa akirudi yeye atahukumu kwa haki! Magu 5 tena
We mgeni dunia hii?Yapi hayo yanawashinda?
KWANI MAREKANI NANI?View attachment 1586980
Hayawi hayawi sasa yamekuwa. Marekani ameshasema lolote baya litakalofanyika kwenye uchaguzi wa mwaka huu lazima liwe na matokeo kutoka kwake![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wenye akili na jicho la tatu tumeshaona, sijui wengine kama mmeshaona.
Wale mliopanga kupiga mabomu watu, kubadiri matokeo ya uchaguzi, kuiba ushindi wa wagombea wengine, majibu yameshatoka, mwaka huu lazima kutakuwa na matokeo ya matendo yenu mabovu!
Cc.Mkuu wa TISS, IGP, CDF et all!
Mwaka huu watanzania tusiudharau, tukapige kura kwa wingi na tulinde kura zetu.
Ubalozi wa Marekani ndiyo takataka gani tena?View attachment 1586980
Hayawi hayawi sasa yamekuwa. Marekani ameshasema lolote baya litakalofanyika kwenye uchaguzi wa mwaka huu lazima liwe na matokeo kutoka kwake![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wenye akili na jicho la tatu tumeshaona, sijui wengine kama mmeshaona.
Wale mliopanga kupiga mabomu watu, kubadiri matokeo ya uchaguzi, kuiba ushindi wa wagombea wengine, majibu yameshatoka, mwaka huu lazima kutakuwa na matokeo ya matendo yenu mabovu!
Cc.Mkuu wa TISS, IGP, CDF et all!
Mwaka huu watanzania tusiudharau, tukapige kura kwa wingi na tulinde kura zetu.
Mbabe wa duniaKWANI MAREKANI NANI?
acha uzwazwa wa lumumbaUmeanza mwaka huu kushiriki chaguzi za Tanzania??? hivi vitu vipo kila uchaguzi unapofika lakini kuanzia tarehe 4 NOVEMBER hawa hawa unaowashobokea watakua wakitoa congraturatory Notes kwa JPM kwa ushindi mnono na watakuwa wakisema USA iko tayari kudumisha ushirikiano na URT.
Chuma chetu a.k.a Ng'wanasusana leo yuko Tunduma atashiriki na wanaTunduma kusherehekea mafanikio ya awamu ya kwanza ya serikali ya awamu ya tano. Wote semeni CCM Hoyeeeeeeee