ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Endelea kujipa moyo hapo kona za Lumumba 😂😂Taifa la machoko USA nani atalisikiliza zaidi ya Lissu mshadadia ushoga.?! Trump na Biden kwenye mdahalo juzi wameshindwa kujiheshimu na sheria za USA zimeshindwa kuwafanya lolote. Wananchi wa Marekani wamebakiwa na kushanga na kutanoa kwamba mdahalo ujao refarii wa kick boxing atafutwe aletwe kuuendesha.
Taifa la USA limegeuka kuwa taifa la hovyo dunia, hawana la kuwafanya Iran, North Korea ,China etc, wanechemka Afghanistan, Iraq Libya etc,. Watatufanya nini Tanzania? USA wanegeuka mbwa mbwekaji asiye na mbinu ingawa ana meno.
Waambie USA waje Tanzania, tuwafundishe jinsi ya kumtegemea Mungu na kuishinda covid-19.
Tutawafundisha kwa sharti moja tu wakane ushoga watubu dhambi zao, hivyo tu
Kwani mkuu wafikili katiba ya USA ni Kama ya kwetu ,iko hivi wenzetu pamoja na urais wa Trump, na utajiri wake ,ila mihiko ya nchi husika lazima kuifuata so akiambiwa fanya hivi na organ za nchi husika anaufyata na hakuna namna atakataa,na elewa kwa rais yoyote wa USA anapata faida Sana pale awezapo shughulikia matatizo ya kisiasa au ugaid,nje ya nchi yake ,D.Trump hana huo muda wa kushughulika na Siasa za Tanzania, acheni kujidanganya, ...
So mmepanga kuhujumu uchaguzi? Jaribuni mwaka huu. Ndipo mtakapojua kumbe ni mahesabu tu soksi kutoka mguuni bila kuvua kiatu.So wewe mwanamke umeandika nn hapa
Ndipo akili zenu zilipogotea!Marekani ina mfumo mzuri na sera zisizobadilika juu ya mambo ya nje!Hahaha Bosi wake mwenyewe D.Trump ameshakataa matokeo ya Uchaguzi ujao wa USA, huo muda wa kuhangaika na sisi ataupata wapi kama siyo fix hizo?
Matamko ya IGP kuwatishia chadema leo tayari yamewapelekea ICC kuanza kuaandaa jarada lake mapema ili baada ya uchaguzi afikishwe huko haraka iwezekanavyoView attachment 1586980
Hayawi hayawi sasa yamekuwa. Marekani ameshasema lolote baya litakalofanyika kwenye uchaguzi wa mwaka huu lazima liwe na matokeo kutoka kwake!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wenye akili na jicho la tatu tumeshaona, sijui wengine kama mmeshaona
Wale mliopanga kupiga mabomu watu, kubadiri matokeo ya uchaguzi, kuiba ushindi wa wagombea wengine, majibu yameshatoka, mwaka huu lazima kutakuwa na matokeo ya matendo yenu mabovu!!!
Cc.Mkuu wa TISS, IGP, CDF et all!!
Mwaka huu watanzania tusiudharau, tukapige kura kwa wingi na tulinde kura zetu
Lissu asiende, kama wana mtuhumu kwa kosa lolote wakamkamate wamfungulie mashtaka. CCM Must goMatamko ya IGP kuwatishia chadema leo tayari yamewapelekea ICC kuanza kuaandaa jarada lake mapema ili baada ya uchaguzi afikishwe huko haraka iwezekanavyo
Tawi la CCM linaenda kuwaponza ccm kwa kiwango cha kutishaKauli za Mahera ndiyo zimeingiza serikali kwenye 18 za mabeberu na ndiyo ametibua yote haya 🤣🤣🤣
Matamko ya IGP kuwatishia chadema leo tayari yamewapelekea ICC kuanza kuaandaa jarada lake mapema ili baada ya uchaguzi afikishwe huko haraka iwezekanavyo
Tulia usijeukavunja sindano.Wajinga hao ICC ndio mna wategemea. Waliwashindwa Uhuru na Rutto. Jamaa hata investigation hawajui. Mashahidi karibia wote waliowachukua Kenya walikuwa mapandikizi ya kina Rutto. Sasa hao wapuuzi ndio Lissu na yule shoga wanafikiri watawatumia kutishia Watanzania?
Ndoto za saa tatu Asubuhi Safari hii wizi wa kura haupo jiandae kurejea chato kisha kusubiria kujibu mashitaka ya kutumia madaraka vibayaKwa hili niko tayari kubet mkuu, lakini nakuhakikishia kwamba 2020 JPM atashinda kwa ushindi wa kihistoria na TAL atapigwa pigo takatifu litakalo mdhalilisha vibaya sana
Lissu asiende, kama wana mtuhumu kwa kosa lolote wakamkamate wamfungulie mashtaka. CCM Must go
Kenyata na ruto waliwanunua mashahidi na baadhi ya mashahidi walikufa ndipo ushahidi ukakosa nguvu, kwa Tanzania ICC hawahitaji ushahidi wa binadamu video za polisi wakiamrishakupiga mabomu zipo wazi, video za IGP akipiga mikwara zipo ushahidi wa video zao ndiyo itatumika ICC, watanzania wa wapi unawasemea? Watanzania lini wametishwa na ICC? Watanzania hawana Tatizo na ICC wenye Tatizo na ICC ni Polisi wanaotumwa na CCM kuwafanyizia ubaya wapinzani.Wajinga hao ICC ndio mna wategemea. Waliwashindwa Uhuru na Rutto. Jamaa hata investigation hawajui. Mashahidi karibia wote waliowachukua Kenya walikuwa mapandikizi ya kina Rutto. Sasa hao wapuuzi ndio Lissu na yule shoga wanafikiri watawatumia kutishia Watanzania?
Una elimu gani ndugu?? Unaijua Marekani au unaisikia tu??Marekani asiwe bosi wa nchi zingine. Eti anafwatilia kwa karibu. Yeye kwani nani? Ni mpenzi mtazamaji tuu.
Uchaguzi upi? Uchaguzi asioambulia kitu ni uchaguzi wako binafsi hapo nyumbani kwako lakini uchaguzi wa Tanzania magufuli bye bye na mara baada ya uchaguzi atakuwa mgeni wa mahakama kama Jacob zumaPolisi wakati wanaenda kumkamata Lissu , kwa sababu lazima atakamatwa tu asipotii wito, watumie mikono tu. Hala hala wasitumie rungu maana anatafuta sababu. Kajua uchaguzi haambuli kitu mbele ya JPM.
Acha kuishi kwa uwoga rafikiUna elimu gani ndugu?? Unaijua Marekani au unaisikia tu??