Tamko la Umoja wa Kizazi cha Kuhoji(UTG) kuhusu hali ya usalama nchini na kupotea kwa Ben Saanane

Tamko la Umoja wa Kizazi cha Kuhoji(UTG) kuhusu hali ya usalama nchini na kupotea kwa Ben Saanane

Ingejulikana vipi wakati Malisa haijui.watu wana line mpaka 6 na hawchomeki kwenye simu zao.
Hili suala la Ben litawalipukia vibaya sana chadema wenyewe.Subiri tuzike askari wetu kwanza
Kachambe urudi hapa tujadiliane
 
Ndo maana nasema recommendations hizo ni vague kama wameshindwa hata kuhoji vitu vilivyowazi huku mnajiita Kizazi cha Kuhoji.

Vijana wanaogopa vipi Mbowe kuhojiwa kama wanajua alikuwa msaidizi wake? Mwanahalisi ilisema anaonekana kwa nini wasilete hayo.

Kwa kuleta vitu nusunusu ina maana kazi yote ni batili na ni ya kisiasa mno.

Lazima wawe huru. Kuna watu wanasema Mbowe aliwapiga mkwara kwa kuanzisha kundi linalopinga move zake ndani ya chama ndo maana wamenywea na kutajataja polisi tu humu?
Sawa umesikika. Kachimbe dawa
 
Hii imeandikwa kwa kiburi na kejeli ya hali ya juu .Unaposaema' kuuwawa askari wao' inalenga kukejeli na hata unapotoa pole baada ya kejeli inakuwa pole isiyokuwa na maana.Unataka polisi watimize wajibu wakati huwatambui kama ni polisi wako pia.Nyinyi vijana wa sasa mmepoteza kabisa muelekeo wa kitaifa na hata pale mnapokuwa na hoja nyeti kama hii mafaniko yake hayapatikani kwa sababu ya tabia zenu chafu za kudhani kutumia mababvu na lugha za ovyo ndiyo mafaniakio.
Kwamba ili pole iwe sahihi lazima hao unaowapa pole wawe wako? Kweli hii nchi kuna mapunga.
 
Huyu Malisa ana matatizo sana.
Anapinga kuwa simu ya Ben iliwasiliana tarehe 16
Watanzania wengi wana line zaidi ya mbili,ana uhakika gani kama ben aliamua kutumia line nyingine

Bashite hujambo?
 
Huyu Malisa ana matatizo sana.
Anapinga kuwa simu ya Ben iliwasiliana tarehe 16
Watanzania wengi wana line zaidi ya mbili,ana uhakika gani kama ben aliamua kutumia line nyingine
Hahahahahha kwahyo atumie line moja kwa miaka 5 mfululizo ila cku mbili kabla ya kutoweka ndio akabadilisha line??? Kaz kwelikweli
 
Hapa inaonyesha Ben alionekana tarehe 16/11/2016. Hii ni sawa na taarifa zinatolewa na Polisi kama sikosei.

Kama iko hivi hamuoni kama mnapotosha watu?

Tusikie mmekutana na Mwajiri wake ambaye ni CHADEMA ingawa kulikuja tetesi kuwa alikuwa tayari amefukuzwa na CHADEMA.

Tafuta ukweli kamili ili Tanzania mnayohoji tuone mna mashiko Mkuu wangu.View attachment 496510
Unaweza kaaa hta wiki nzima hujaingia JF ila kwei mtu mkubwa kma saanane ndani ya chama ataspend 2 days bila kupiga au kupigiwa simu kwenye namba zake zote alozosajili ikiwemo ya ofisini??? Doesnt make sense
 
Hapa inaonyesha Ben alionekana tarehe 16/11/2016. Hii ni sawa na taarifa zinatolewa na Polisi kama sikosei.

Kama iko hivi hamuoni kama mnapotosha watu?

Tusikie mmekutana na Mwajiri wake ambaye ni CHADEMA ingawa kulikuja tetesi kuwa alikuwa tayari amefukuzwa na CHADEMA.

Tafuta ukweli kamili ili Tanzania mnayohoji tuone mna mashiko Mkuu wangu.View attachment 496510
Exactly mkuu...

Ktk blah blah zote hizi za UTG sijaona mahali waliposema wamefanya mawasiliano na mwajiri wa Ben(ambaye ni Chadema na Mbowe).

Kua biased kwenye jambo linalohitaji uchunguzi ni kujipoteza moja kwa moja.
 
Ndo umuhimu wa kujua ukweli kwa mwajiri unaanza mkuu wangu. Hapa inaonyesha wanasema tar 16 na polisi wanasema hivyo. Kama ndo hivyo, ina maana Ben amepotea mapema zaidi ya tunavyoambiwa.

Mmoja wa kueleza ukweli huo ni ofisini kwake hapa Ufipa. Kwa nini hawajahoji wakati pako wazi kabisa??
Siasa inatakiwa tuiache tunaposimamia hoja za msingi.

Si kwamba sioni maumivu ya kupotea kwa Ben, ila kuna sehemu pamokosa kufikiwa ili kututoa wasiwasi zaidi.
Unaweza kaaa hta wiki nzima hujaingia JF ila kwei mtu mkubwa kma saanane ndani ya chama ataspend 2 days bila kupiga au kupigiwa simu kwenye namba zake zote alozosajili ikiwemo ya ofisini??? Doesnt make sense
 
Ndo umuhimu wa kujua ukweli kwa mwajiri unaanza mkuu wangu. Hapa inaonyesha wanasema tar 16 na polisi wanasema hivyo. Kama ndo hivyo, ina maana Ben amepotea mapema zaidi ya tunavyoambiwa.

Mmoja wa kueleza ukweli huo ni ofisini kwake hapa Ufipa. Kwa nini hawajahoji wakati pako wazi kabisa??
Siasa inatakiwa tuiache tunaposimamia hoja za msingi.

Si kwamba sioni maumivu ya kupotea kwa Ben, ila kuna sehemu pamokosa kufikiwa ili kututoa wasiwasi zaidi.
Sasa si mnaambiwa waliomba mawasiliano ila wanambiwa mwisho ni tarehe 16!!!! Na hya lisu aliyasema kwenye press na hata message ya kutishiwa maisha ben aliisoma sasa ulitaka chadema wafanye nni zaidi kwa mfano?? How sure are u kwamba walipokuwa kimya ndio intelligentsia ya chama ilikuwa inamsaka pia???

Twende mbele turudi nyuma kma wauaji wa polisi wamepatikana within 24 hours je kwanni polisi wapo kimya mpaka leo??? Hvi nape na bashe kusema ni usalama wa taifa je unafkiri wana calibre ya kudanganya wakati wapo humo humo ccm na hakuna mtubwa serikali aliekanusha iwaje wwe ukatae na useme ni chadema wamemkamata????

Tukuamini wwe au nape na bashe??? Asante
 
Mkuu umeongea sawa unaoneje Mhariri wa MwanaHalisi kama angehusika katika mahojiano haya ya sasa.
Sasa si mnaambiwa waliomba mawasiliano ila wanambiwa mwisho ni tarehe 16!!!! Na hya lisu aliyasema kwenye press na hata message ya kutishiwa maisha ben aliisoma sasa ulitaka chadema wafanye nni zaidi kwa mfano?? How sure are u kwamba walipokuwa kimya ndio intelligentsia ya chama ilikuwa inamsaka pia???

Twende mbele turudi nyuma kma wauaji wa polisi wamepatikana within 24 hours je kwanni polisi wapo kimya mpaka leo??? Hvi nape na bashe kusema ni usalama wa taifa je unafkiri wana calibre ya kudanganya wakati wapo humo humo ccm na hakuna mtubwa serikali aliekanusha iwaje wwe ukatae na useme ni chadema wamemkamata????

Tukuamini wwe au nape na bashe??? Asante
 
Dah..... Hii ishu mbona simpo sana...... Mnaikoplikati tu....... Kamata Kubenea binya ile kitu..... Nusu saa tu saa8 mubashara [emoji4] [emoji4]
 
Mkuu umeongea sawa unaoneje Mhariri wa MwanaHalisi kama angehusika katika mahojiano haya ya sasa.
Kwanini mhariri wa mwanahalisi tu kuna bashe kuna zitto kuna nape hawa wanasema usalama wa taifa umehusika na wanaweza thibitisha ssa serikali imeogopa nni kuunda kamati??? Kubenea ana mtazamo wake na hawa kina nape wana mtazamo wao ssa kwanni tuskilize rumours wakati serikalo ina vitengo vyake vinavyoweza pata ukweli wa mambo???
 
Huyu Malisa ana matatizo sana.
Anapinga kuwa simu ya Ben iliwasiliana tarehe 16
Watanzania wengi wana line zaidi ya mbili,ana uhakika gani kama ben aliamua kutumia line nyingine
Katika Dunia hii hakuna mtu aliyeficha siri kama mtawala Wa kijerumani lakini ,aliokuwa akifanya nao kazi walitoa siri zote

Tuombe Mungu,ukweli unakuja tu
 
Siku nyingine kama hujui kitu uliza. Ni aibu kuonesha hadharani namna ulivyo mjinga. Ngoja nikusaidie. Kwenye kufuatilia mawasiliano ya mtu tunaangalia simu (IMEI), namba ya simu (MSISDN), OTHERPARTY, aina ya mawasiliano (CALLTYPE), muda (DURATION), Mnara simu ilipopigwa au sms ilipotumwa (CL_SITE_NAME), mida simu ilipopigwa/piga au sms ilipotumwa/tuma (TIME), Tarehe (DATE), wilaya na mkoa ambako mnara huo upo (C_LDISTRICT/REGION). Hii ina maanisha kwamba hata ukibadili line bado IMEI number itabaki ileile. That means simu itasoma ileile, isipokua itaonesha mabadiliko ya line.!
Afrika tunanchi za ajabu kweli,anapotea MTU watu na viongozi wao wako buheri tu!!

Kwa nini dhambi ya Daudi haikuondoka nyumbani mwake?
Tujisahihishe
 
Shida kubwa ya nchi hii ni kuwa na wajinga wengi wanaojifanya wajuaji. Mtu anahoji UTG ilikua wapi, wakati andiko linaelezea hatua ambazo UTG imechukua tangu siku ya kwanza iliporipotiwa Ben kapotea. Tangu mwezi November UTG imechukua hatua mbalimbali na wameeleza yote kwenye hiyo taarifa yao. Taarifa pia inaeleza Press conference walizofanya na hatua zilizochukuliwa. UTG pia ndio waliofungua jalada polisi kwa kushirikiana na familia ya Ben kama hatua za awali baada ya Ben kutokuonekana. Lakini mtu mmoja kwa uvivu wa kusoma anaibuka na kuuliza maswali ambayo yote yamejibiwa ndani ya andiko. Ujinga ni kipaji.!
Hiyo ndiyo Shule aliyofundwa,uhai wa MTU sikitu ,kwake kitu maslahi binafsi 7b
 
Back
Top Bottom