JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA) limekuja na kauli mbiu kuelekea Mei Mosi 2022 ambapo humo nani wamegusia kuhusu mishahara na maslahi bora ya wafanyakazi.
Tamko hilo limetolewa na Katibu Mkuu wa TUCTA ambaye pia ni Katibu Mkuu wa TUGHE Taifa, Cde.Hery H.Mkunda.
Kauli mbiu hiyo inasema: “MISHAHARA NA MASLAHI BORA KWA WAFANYAKAZI NDIYO KILIO CHETU: KAZI IENDELEE”
Bado namtafuta Katibu Hery H.Mkunda tujadiliane kidogo kuhusu hili suala.
Tamko hilo limetolewa na Katibu Mkuu wa TUCTA ambaye pia ni Katibu Mkuu wa TUGHE Taifa, Cde.Hery H.Mkunda.
Kauli mbiu hiyo inasema: “MISHAHARA NA MASLAHI BORA KWA WAFANYAKAZI NDIYO KILIO CHETU: KAZI IENDELEE”
Bado namtafuta Katibu Hery H.Mkunda tujadiliane kidogo kuhusu hili suala.